Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Afrika Kusini

    Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Afrika Kusini

    Apr 22, 2022 03:25

    Afrika Kusini ambayo ilikuwa shwari kutokana na kupungua kwa maambukizi ya corona kwa kiasi fulani katika siku za karibuni imetangaza kukumbwa kwa mara nyingine tena na ongezeko la maambukizi ya corona nchini humo.

  • Iran yaipongeza Afrika Kusini kwa kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Iran yaipongeza Afrika Kusini kwa kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Apr 15, 2022 07:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza Afrika Kusini kwa misimamo yake ya kuwaunga mkono na kuwatetea wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Apr 13, 2022 21:56

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini kutokana na mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa, imefikia zaidi ya 250.

  • Utafiti: Mabadiliko ya tabianchi yameshadidisha vimbunga Afrika

    Utafiti: Mabadiliko ya tabianchi yameshadidisha vimbunga Afrika

    Apr 12, 2022 05:54

    Timu ya kimataifa ya wanasayansi wa hali ya hewa imesema vimbunga vilivyoshuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni katika nchi za kusini mwa Afrika vilisababishwa na mabadiliko ya tabianchi.

  • Rais wa Afrika Kusini alaani hujuma dhidi ya raia wa kigeni

    Rais wa Afrika Kusini alaani hujuma dhidi ya raia wa kigeni

    Apr 11, 2022 22:11

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema ni jambo la kusikitisha kuona kuwa hisia na hujuma dhidi ya raia wa kigeni zinashabihiana na yale yaliyokuwa yakijiri nchini humo katika zama za utawala wa ubaguzi wa rangi au apathaidi.

  • Ramaphosa: Mgogoro wa Ukraine umefichua udhaifu wa Baraza la Usalama la UN

    Ramaphosa: Mgogoro wa Ukraine umefichua udhaifu wa Baraza la Usalama la UN

    Apr 08, 2022 22:02

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mgogoro wa Ukraine umeanika wazi udhaifu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na namna taasisi hiyo kubwa zaidi ya kimataifa isivyo na uwezo wa kuidhaminia dunia amani na usalama.

  • Maandamano ya kulaani ongezeko la visa vya uhalifu yafanyika Afrika Kusini

    Maandamano ya kulaani ongezeko la visa vya uhalifu yafanyika Afrika Kusini

    Apr 07, 2022 05:45

    Mamia ya watu wamefanya maandamano nchini Afrika Kusini kulalamikia ongezeko la visa vya uhalifu wanavyodai kuwa vinafanywa na raia wa kigeni nchini humo.

  • Ramaphosa: NATO ndiyo ya kulaumiwa kwa vita vya Russia nchini Ukraine

    Ramaphosa: NATO ndiyo ya kulaumiwa kwa vita vya Russia nchini Ukraine

    Mar 18, 2022 11:31

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameilaumu NATO kwa vita vya Ukraine na kusema kuwa atapinga wito wa kuilaani Russia. Matamshi haya ya Ramaphosa yanatia shaka iwapo atakubaliwa na Ukraine au nchi za Magharibi kama mpatanishi katika mzozo huo.

  • Benki ya Dunia: Afrika Kusini inaongoza kwa ufa mkubwa wa umiliki wa kipato duniani

    Benki ya Dunia: Afrika Kusini inaongoza kwa ufa mkubwa wa umiliki wa kipato duniani

    Mar 10, 2022 08:55

    Benki ya Dunia imetangaza kuwa Afrika Kusini ndiyo nchi yenye ufa mkubwa zaidi wa tofauti ya kipato baina ya watu wake kutokana na asilimia 10 ya raia wake wazungu kumiliki zaidi ya asilimia 80 ya utajiri wote wa nchi hiyo. Ripoti hiyo imesema, mbari na rangi za watu ndilo suala linalochangia zaidi hali hiyo.

  • Afrika Kusini yataka Israel ichukuliwe hatua kwa jinai zake za 'apartheid'

    Afrika Kusini yataka Israel ichukuliwe hatua kwa jinai zake za 'apartheid'

    Feb 18, 2022 07:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuchukuliwa hatua ya moja kwa moja dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mienendo yake ya ubaguzi wa rangi wa apartheid.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS