Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

afya

  • Mripuko wa homa ya manjano waua watu 25 nchini Ghana

    Mripuko wa homa ya manjano waua watu 25 nchini Ghana

    Nov 18, 2021 02:56

    Mripuko wa homa ya manjano umesababisha vifo vya watu wasiopungua 25 nchini Ghana.

  • Mamilioni ya Watanzania wanasumbuliwa na matatizo ya akili

    Mamilioni ya Watanzania wanasumbuliwa na matatizo ya akili

    Oct 10, 2021 07:56

    Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni saba wenye matatizo yanayohusiana na afya ya akili. Hayo yamebainika wakati huu ambapo nchi hiyo ya Afrika Mashariki imejiunga na nchi zingine duniani hii leo kuadhimisha Siku ya Afya ya Akili.

  • UN: Nusu ya wananchi wa Yemen hawana hata maji safi ya kunywa

    UN: Nusu ya wananchi wa Yemen hawana hata maji safi ya kunywa

    Aug 30, 2021 07:10

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, karibu nusu ya wananchi wa Yemen hawana hata maji safi ya kunywa kutokana na vita walivyobebeshwa wananchi hao.

  • Mripuko wa kipindupindu waua watu 479 nchini Nigeria

    Mripuko wa kipindupindu waua watu 479 nchini Nigeria

    Jul 28, 2021 11:16

    Mamia ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.

  • Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu waua 50 nchini Nigeria

    Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu waua 50 nchini Nigeria

    Apr 07, 2021 03:29

    Makumi ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.

  • Sudan Kusini kuwapa chanjo ya Polio watoto milioni 2.8

    Sudan Kusini kuwapa chanjo ya Polio watoto milioni 2.8

    Feb 26, 2021 07:54

    Wizara ya Afya ya Sudan Kusini kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF inaendesha kampeni ya kuwapa chanjo ya ugonjwa wa kupooza (Polio) watoto milioni 2.8 nchini humo.

  • Mripuko mpya wa tauni waua watu 31 Kongo DR

    Mripuko mpya wa tauni waua watu 31 Kongo DR

    Feb 20, 2021 13:26

    Mripuko mpya wa ugonjwa angamizi wa tauni umeibuka kaskazini mashariki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambapo hadi sasa watu zaidi ya 30 wanaripotiwa kupoteza maisha.

  • Pelosi ataka faili la hali ya kiafya ya Trump liwekwe wazi, Trump asema ni kichaa

    Pelosi ataka faili la hali ya kiafya ya Trump liwekwe wazi, Trump asema ni kichaa

    Oct 10, 2020 02:32

    Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi amesema kuwa Wamarekani wana haja ya kujua hali ya kiafya ya Rais Donald Trump akiashiria maradhi yake ya virusi vya corona na kulazwa hospitalini kwa siku kadhaa.

  • Afya na Michezo/Mazoezi

    Afya na Michezo/Mazoezi

    Sep 22, 2020 12:38

    Meza ya Ulimwengu wa Michezo imekuandalia makala inayochambua umuhimu wa kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbalimbali kwa afya na siha ya mwanadamu.

  • Waziri wa Mafuta Yemen: Wasaudi wamepora mamilioni ya mapipa ya mafuta ya Yemen

    Waziri wa Mafuta Yemen: Wasaudi wamepora mamilioni ya mapipa ya mafuta ya Yemen

    Jul 26, 2020 13:39

    Waziri wa Mafuta wa Yemen amesema, kwa miaka kadhaa ya karibuni, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia pamoja na mamluki wao wamepora akiba kubwa ya mafuta ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS