Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Apr 03, 2021 09:42

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa, askari wa nchi hiyo wamefanikiwa kuzima mashambulio ya kundi la kigaidi la al-Shabaab yaliyolenga kambi mbili za kijeshi kusini mwa nchi.

  • Msumbiji yaanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa Palma

    Msumbiji yaanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa Palma

    Mar 29, 2021 11:37

    Wizara ya Ulinzi ya Msumbiji imetangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo limeanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa pwani wa Palma unaodhibitiwa na kundi linalojiita al Shabab.

  • Magaidi 52 wa al-Shabaab wauawa katika shambulio dhidi ya jela nchini Somalia

    Magaidi 52 wa al-Shabaab wauawa katika shambulio dhidi ya jela nchini Somalia

    Mar 05, 2021 12:29

    Wanamgambo wasiopungua 52 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika shambulio la wapiganaji hao dhidi ya jela moja iliyoko katika jimbo la Puntland,kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 15 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Magaidi 15 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Feb 26, 2021 03:29

    Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia kusini mwa nchi.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio la kigaidi la al-Shabaab Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulio la kigaidi la al-Shabaab Somalia

    Feb 01, 2021 03:18

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kwa mabomu na risasi.

  • Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Jan 28, 2021 04:19

    Serikali ya Uganda imekadhibisha taarifa kuwa jeshi la nchi hiyo UPDF limeua wanachama 189 wa genge la al-Shabaab kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu watano wauawa katika hujuma ya kigaidi Dhobley, Somalia

    Watu watano wauawa katika hujuma ya kigaidi Dhobley, Somalia

    Dec 30, 2020 04:33

    Watu watano wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa kwenye mlipuko uliojiri kwenye barabara ya mji wa Dhobley katika mkoa wa Lower Juba kusini mwa Somalia.

  • Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Dec 28, 2020 00:21

    Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) jana Jumapili kilishambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika Msitu wa Boni kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya na kuangamiza wanachama kadhaa wa genge hilo.

  • Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Dec 23, 2020 12:23

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lenye makao yake nchini Somalia limekiri kuwa ndilo lililomteka nyara na kumuua kwa kumkata kichwa chifu mmoja wa kaunti ya Wajir, huko kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab

    Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab

    Dec 01, 2020 08:00

    Mamluki kadhaa wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabaab la huko Somalia wameuawa katika mapigano kati ya kundi hilo na jeshi la Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS