Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia

    Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia

    Nov 13, 2020 11:27

    Mawaziri wa nchi za Afrika ambazo zina askari katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia wamebainisha wasiwasi wao kuhusu kampeni ya kundi la Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji wapya nchini Somalia.

  • Magaidi 17 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Hiran

    Magaidi 17 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Hiran

    Nov 06, 2020 02:36

    Jeshi la Taifa la Somalia SNA limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 17 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hiran, katikati mwa nchi hiyo.

  • Kamanda wa ngazi za juu wa al-Shabaab auawa na jeshi la Somalia

    Kamanda wa ngazi za juu wa al-Shabaab auawa na jeshi la Somalia

    Nov 02, 2020 04:26

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kumuangamiza kamanda wa ngazi za juu wa wanamgambo wa kundi la al-Shabaab, kusini mwa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab inakusanya ushuru mkubwa zaidi ya serikali ya Somalia

    Al-Shabaab inakusanya ushuru mkubwa zaidi ya serikali ya Somalia

    Oct 28, 2020 04:38

    Ripoti mpya imefichua kuwa, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linakusanya kodi na ushuru mkubwa hata zaidi ya ule unaokusanywa na serikali ya Somalia.

  • Wanajeshi 13 wa Somalia wauawa katika makabiliano na al-Shabaab

    Wanajeshi 13 wa Somalia wauawa katika makabiliano na al-Shabaab

    Oct 16, 2020 03:10

    Kwa akali askari 13 wa Jeshi la Taifa la Somalia wameuawa katika makabiliano makali baina yao na wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na wilaya ya Afgoye, kaskazini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa

    Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa

    Sep 29, 2020 13:37

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni mbili zilizojiri katika eneo la Lower Shabelle kusini mwa Somalia.

  • Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab

    Sep 23, 2020 07:26

    Wanachama 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika jimbo la Galmadug, katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na askari kusini mwa Somalia

    Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na askari kusini mwa Somalia

    Sep 17, 2020 08:06

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia huko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Gaidi ajiripua mbele ya msikiti, kusini mwa Somalia

    Gaidi ajiripua mbele ya msikiti, kusini mwa Somalia

    Sep 12, 2020 00:43

    Duru za habari za ndani na nje ya Somalia zimetangaza kuwa gaidi mmoja amejiripua kwa mabomu nje ya msikiti mmoja wa kusini mwa nchi hiyo.

  • 30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    Sep 06, 2020 07:35

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS