Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria yafunga ofisi zake sita za kibalozi nchini Ufaransa

    Algeria yafunga ofisi zake sita za kibalozi nchini Ufaransa

    Nov 19, 2021 07:39

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuvurugika uhusiano wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Algeria, serikali ya Algiers imetangaza habari ya kufunga balozi zake ndogo zipatazo sita katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Algeria na Afrika Kusini zapinga tena Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika AU

    Algeria na Afrika Kusini zapinga tena Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika AU

    Nov 16, 2021 16:51

    Algeria na Afrika Kusini zimetangaza tena msimamo wao wa kupinga utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika, AU.

  • Iran yaipongeza Algeria kwa kupinga Israel kuwa mwanachama mwangalizi Umoja wa Afrika

    Iran yaipongeza Algeria kwa kupinga Israel kuwa mwanachama mwangalizi Umoja wa Afrika

    Nov 12, 2021 11:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya hivi karibuni ya Algeria kupinga utawala haramu wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.

  • Rais wa Algeria akataa mwaliko wa Ufaransa wa kushiriki katika mkutano wa Paris kuhusu Libya

    Rais wa Algeria akataa mwaliko wa Ufaransa wa kushiriki katika mkutano wa Paris kuhusu Libya

    Nov 11, 2021 11:52

    Rais wa Algeria ametangaza kuwa, hatashiriki katika mkutano wa Paris ulioitishwa kwa ajili ya kujadili hali ya kisiasa nchini Libya.

  • Umoja wa Mataifa wazitaka Algeria na Morocco kupunguza mzozo baina yao

    Umoja wa Mataifa wazitaka Algeria na Morocco kupunguza mzozo baina yao

    Nov 07, 2021 07:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitolea wito Algeria na Morocco kufanya juhudi za kupunguza mzozo na mivutano baina yao.

  • Algeria: Ni baidi kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Ufaransa katika mazingira ya sasa

    Algeria: Ni baidi kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Ufaransa katika mazingira ya sasa

    Nov 07, 2021 03:42

    Rais wa Algeria amesema katika mazingira ya sasa ni jambo lililombali kuweza kurejeshwa uhusiano wa kawaida na Ufaransa baada ya matamshi hatari yaliyotolewa na rais wa nchi hiyo.

  • Wanajeshi Sudan waendelea kukabiliana na waandamanaji; vurugu zatawala

    Wanajeshi Sudan waendelea kukabiliana na waandamanaji; vurugu zatawala

    Oct 29, 2021 08:06

    Vyombo vya usalama nchini Sudan vimeendelea kupambana na waandamanaji wenye hasira wanaoipinga mapinduzi ya kijeshi ya Jumatatu iliyopita ambayo yamezidi kuzorotesha kipindi cha mpito cha kidemokrasia, na kusababisha ukosolewaji mkubwa kieneo na kimataifa.

  • Algeria yaikosoa Morocco kwa kuiingiza Israel katika njama hatari dhidi ya Algiers

    Algeria yaikosoa Morocco kwa kuiingiza Israel katika njama hatari dhidi ya Algiers

    Oct 24, 2021 07:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameikosoa nchi jirani ya Morocco kwa kuuingiza utawala wa Kizayuni wa Israel katika njama hatari dhidi ya serikali ya Algiers.

  • Wahajiri kadhaa wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Algeria

    Wahajiri kadhaa wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Algeria

    Oct 18, 2021 03:52

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imesema wahajiri wanne wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika Bahari ya Mediterania, huko pwani ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Algeria yazima njama ya utawala haramu wa Israel

    Algeria yazima njama ya utawala haramu wa Israel

    Oct 14, 2021 02:53

    Vyombo rasmi vimetangaza kuwa, askari usalama wa Algeria wamefanikiwa kuzima njama iliyokuwa imepangwa kutekelezwa na maadui wa nchi hiyo kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS