-
Algeria yayasusia na kuyawekea vikwazo mashirika 500 ya Ufaransa
Oct 12, 2021 02:34Taasisi moja ya Algeria imetangaza habari ya kususiwa na kuwekewa vikwazo mashirika 500 ya Ufaransa nchini humo, ikiwa ni majibu ya Algiers kwa matamshi ya kifidhuli ya rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron.
-
Tebboune: Algeria si koloni tena la Ufaransa
Oct 11, 2021 08:14Rais wa Algeria imetangaza kuwa Ufaransa inapasa kusahau kuwa Algeria ni nchi iliyokoloniwa.
-
Macron akataa tena kuomba radhi kwa masaibu yaliyosababishwa na ukoloni wa Ufaransa barani Afrika
Oct 09, 2021 08:15Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekataa tena kuomba radhi kutokana na athari mbaya za historia ya ukoloni wa nchi yake barani Afrika, akielezea hamu yake ya kuanzisha mtindo mpya wa uhusiano na bara hilo.
-
Ufaransa yataka kuondolewa mivutano katika uhusiano wake na Algeria
Oct 06, 2021 03:06Rais wa Ufaransa ametoa wito wa kuondolewa mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na Algeria.
-
Algeria yakadhibisha madai ya Morocco kuhusu kuwepo Hizbullah huko Tindouf
Oct 05, 2021 02:20Algeria imekadhibisha madai yaliyotolewa na Morocco kwamba wapiganaji wa harakati ya Hizbullah wako katika mji wa Tindouf kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wapigania uhuru wa Polisario huko Sahara Magharibi. Algeria imeyataja madai hayo kuwa ni uongo mtupu.
-
Mvutano katika uhusiano wa Algeria na Ufaransa
Oct 03, 2021 17:13Usiku wa Jumamosi iliyopita serikali ya Algeria ilimwita nyumbani balozi wake nchini Ufaransa kwa ajili ya mashauriano ikilalamikia matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron dhidi ya nchi hiyo.
-
Algeria yaizuia Morocco kupita katika anga yake; uhusiano wazidi kuharibika
Sep 23, 2021 08:06Serikali ya Algeria imetangaza kuwa, imeifungia Morocco anga yake hatua ambayo inazidi kuchochea mvutano ulioshadidi hivi karibuni baina ya majirani hao wawili kufuatia hatua ya Algiers ya kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat.
-
Rais wa Ufaransa awaomba radhi wananchi wa Algeria
Sep 22, 2021 02:29Hatimaye baada ya kupita miongo mingi tangu Wafaransa watende jinai nchini Algeria na katika hali ambayo, kumekuwa kukifichuliwa nyaraka mpya za jinai hizo, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewaomba radhi wananchi wa Algeria na kuahidi kupasishwa sheria katika siku za usoni ambayo itatoa fidia kwa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Rais Macron awaomba radhi Waislamu wa Algeria kwa jinai zilizofanywa na nchi yake nchini humo
Sep 21, 2021 02:41Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron jana Jumatatu aliwaomba radhi Waislamu wa Algeria kutokana na jinai ilizofanywa na Ufaransa katika nchi hiyo.
-
Jumapili, 19 Septemba, 2021
Sep 19, 2021 02:21Leo ni Jumapili mwezi 12 Mfunguo Tano Safar 1443 Hijria, sawa na tarehe 19 Septemba 2021 Miladia.