-
Utawala wa Saudia watekeleza njama za kuvuruga Ibada ya Hija
May 30, 2016 07:41Watawala wa Saudi Arabia wanatumia mbinu mbali mbali kuvuruga Ibada ya Hija na kwa msingi huo kuwanyima wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haki yao ya kutekeleza ibada hiyo muhimu ya kila mwaka.
-
Iran kutoenda Hijja mwaka huu kutokana na vizingiti vya Saudia
May 29, 2016 14:21Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema taifa hili halitashiriki ibada tukufu ya Hijja mwaka huu kutokana na vizingiti lilivyowekewa na Saudi Arabia.
-
Ayatulllah Larijani: Kuna udharura wa kuweko ushirikiano wa ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kuandaa ibada ya Hija
May 24, 2016 03:26Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, kuna haja ya kuweko ushirikiano wa ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kuandaa ibada ya Hija.