Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli

    Ansarullah: Kusalimu amri Saudia mbele ya Qatar kunaonesha uvamizi na mzingiro umefeli

    Jan 06, 2021 04:41

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema hatua ya Saudi Arabia kuondoa mzingiro na kufungua tena mipaka yake ya anga, nchi kavu na baharini na Qatar inaonesha wazi kuwa sera za uvamizi na mzingiro zimefeli na kugonga mwamba.

  • Answarullah: Wavamizi hawatokuwa salama madhali Wayemen hawana usalama

    Answarullah: Wavamizi hawatokuwa salama madhali Wayemen hawana usalama

    Dec 15, 2020 11:38

    Mmoja wa viongozi waandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Aswarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, nchi zilizoivamia hiyo hiyo kamwe haziwezi kuwa salama maadamu zinaendelea kuwakosesha usalama wananchi wa Yemen.

  • Oman yapinga Ansarullah ya Yemen kuwekwa kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Oman yapinga Ansarullah ya Yemen kuwekwa kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Dec 05, 2020 12:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amepinga pendekezo la serikali ya Marekani la kuiweka harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa kuiita kundi la kigaidi moja ya pande kuu zinazopigana nchini Yemen hakusaidii kutatua mgogoro wa nchi hiyo.

  • Ansarullah: Jibu lijalo la Wayemen kwa wavamizi litakuwa kali zaidi

    Ansarullah: Jibu lijalo la Wayemen kwa wavamizi litakuwa kali zaidi

    Nov 25, 2020 08:09

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeonya kuwa jibu lijalo litakalotolewa kwa Wasaudia wavamizi litakuwa kali zaidi na pia kubwa zaidi kuliko la kiwanda cha kusafisha mafuta cha Aramco.

  • Abdulmalik al-Houthi: Magharibi inawatumia wakufurishaji kuchafua sura ya Uislamu

    Abdulmalik al-Houthi: Magharibi inawatumia wakufurishaji kuchafua sura ya Uislamu

    Oct 20, 2020 02:34

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani, Ufaransa na nchi zingine za Magharibi ndio waungaji mkono wa mwanzo kabisa wa makundi ya ukufurishaji huko Syria, Yemen na katika nchi zingine za Kiislamu kwa sababu zinawatumia wakufurishaji hao kuchafua jina la dini tukufu ya Uislamu.

  • Serikali ya Yemen: Tunashikilia mateka maelfu ya mamluki wa Saudia na Sudan

    Serikali ya Yemen: Tunashikilia mateka maelfu ya mamluki wa Saudia na Sudan

    Oct 18, 2020 04:25

    Kamati ya Taifa inayoshughulikia masuala ya matekani nchini Yemen imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo linawashikilia mateka maelfu ya askari mamluki na vibaraka raia wa Saudi Arabia na Sudan.

  • Mapitio ya sababu za kutokea Mapinduzi ya Yemen ya Septemba 21

    Mapitio ya sababu za kutokea Mapinduzi ya Yemen ya Septemba 21

    Sep 23, 2020 08:03

    Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, Kiongozi wa Ansarullah ya Yemen amesema, Mapinduzi ya Septemba 21 yalikuwa mwanzo wa kuondokana na zama zilizopita za giza na kupiga hatua mbele kuelekea kwenye ujenzi wa mustakabali unaoendana na misingi na thamani za watu wa Yemen.

  • Ansarullah ya Yemen: Kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel ni usaliti kwa Palestina

    Ansarullah ya Yemen: Kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel ni usaliti kwa Palestina

    Sep 18, 2020 02:43

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni khiyana na usaliti wa wazi kwa taifa la Palestina.

  • Ansarullah ya Yemen: Saudia na Imarati zina nafasi haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Ansarullah ya Yemen: Saudia na Imarati zina nafasi haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Sep 15, 2020 02:35

    Katibu Mkuu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametahadharisha kuhusu hatari ya Saudi Arabia na Imarati na nafasi haribifu ya nchi hizo katika eneo la magharibi mwa Asia.

  • Ansarullah yataka kuundwa muungano wa Kiislamu wa kupinga uhusiano na Israel

    Ansarullah yataka kuundwa muungano wa Kiislamu wa kupinga uhusiano na Israel

    Sep 12, 2020 06:56

    Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah ametoa wito wa kuundwa muungano wa Kiislamu dhidi ya hatua yoyote ya kuanzishwa uhusiano baina ya nchi za Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS