Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Umuhimu wa mashambulizi ya Ansarullah dhidi ya mji wa Abha huko Saudi Arabia

    Umuhimu wa mashambulizi ya Ansarullah dhidi ya mji wa Abha huko Saudi Arabia

    Sep 12, 2020 00:40

    Katika siku za karibuni jeshi na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen wamekuwa wakishambulia uwanja wa ndege wa Abha katika mkoa wa Asir huko kusini mwa Saudi Arabia kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drone).

  • Ansarullah ya Yemen yapiga kwa kombora, droni maeneo ya kistratajia Riyadh, Saudia

    Ansarullah ya Yemen yapiga kwa kombora, droni maeneo ya kistratajia Riyadh, Saudia

    Sep 11, 2020 04:45

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelenga kwa kombora la balestiki na ndege zisizo na rubani (droni) maeneo ya kistratajia ndani ya mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.

  • Al Houthi: Saudi Arabia na Imarati ni vinara wa unafiki

    Al Houthi: Saudi Arabia na Imarati ni vinara wa unafiki

    Aug 31, 2020 03:13

    Katibu Mkuu wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa Saudi Arabia na Imarati ni vinara wa kambi ya unafiki.

  • Ansarullah: Kimya cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mbele ya mapatano ya Abu Dhabi-Tel Aviv kinaaibisha

    Ansarullah: Kimya cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mbele ya mapatano ya Abu Dhabi-Tel Aviv kinaaibisha

    Aug 17, 2020 06:46

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya wananchi wa Yemen amesema kuwa kimya cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) mbele ya hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel ni fedheha na aibu kubwa.

  • Ansarullah: Kambi ya Muqawama itaendelea kukabiliana na Marekani, Israel

    Ansarullah: Kambi ya Muqawama itaendelea kukabiliana na Marekani, Israel

    Jul 27, 2020 12:17

    Harakati ya Ansarullah ya wananchi wa Yemen imetangaza kuwa pande zote za Muqawama ni kambi moja inayopambana na ubeberu wa Marekani.

  • Shambulio la Muungano wa Kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya mji wa al-Jawf; kusubiriwa jibu kali la Ansarullah

    Shambulio la Muungano wa Kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya mji wa al-Jawf; kusubiriwa jibu kali la Ansarullah

    Jul 18, 2020 02:35

    Ndege za kijeshi za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen hivi karibuni ulifanya shambulio la anga dhidi ya sherehe ya harusi ya kabila la Bani Nouf katika mji wa Hazm mkoani al-Jawf na kusababisha kwa akali watu 24 kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • Ansarullah yapinga mapendekezo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen

    Ansarullah yapinga mapendekezo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen

    Jul 11, 2020 00:42

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imepinga mpango uliopendekezwa na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo, Martin Griffiths kuhusu mgogoro wa Yemen ikisema unapendelea muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu

    Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu

    Jun 20, 2020 04:03

    Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amezionya vikali Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya kuendeleza njama za kutaka kuufanya wa kawaida uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kwamba, Riyadh na Abu Dhabi zinashirikiana na Tel Aviv ambayo inajulikana ni adui mkubwa wa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Ansarullah nayo yauponda Umoja wa Mataifa, yakosoa kuondolewa Saudia katika 'orodha ya fedheha'

    Ansarullah nayo yauponda Umoja wa Mataifa, yakosoa kuondolewa Saudia katika 'orodha ya fedheha'

    Jun 16, 2020 12:58

    Harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah imeutaka Umoja wa Mataifa kutupilia mbali uamuzi wake wa kuliondoa jina la Saudi Arabia na washirika wake katika orodha ya makundi yanayokanyaga na kuvunja haki za watoto.

  • Ansarullah yafichua nafasi ya Israel na US katika mashambulizi dhidi ya Yemen

    Ansarullah yafichua nafasi ya Israel na US katika mashambulizi dhidi ya Yemen

    May 24, 2020 09:42

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya nchini Yemen amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni washirika wa muungano vamizi wa kijeshi unaofanya mashambulizi dhidi ya wananchi wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS