-
Ansarullah ya Yemen: Kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel ni usaliti kwa Palestina
Sep 17, 2020 22:13Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni khiyana na usaliti wa wazi kwa taifa la Palestina.
-
Ansarullah ya Yemen: Saudia na Imarati zina nafasi haribifu katika eneo la Asia Magharibi
Sep 14, 2020 22:05Katibu Mkuu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametahadharisha kuhusu hatari ya Saudi Arabia na Imarati na nafasi haribifu ya nchi hizo katika eneo la magharibi mwa Asia.
-
Ansarullah yataka kuundwa muungano wa Kiislamu wa kupinga uhusiano na Israel
Sep 12, 2020 02:26Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah ametoa wito wa kuundwa muungano wa Kiislamu dhidi ya hatua yoyote ya kuanzishwa uhusiano baina ya nchi za Kiarabu na utawala haramu wa Israel.
-
Umuhimu wa mashambulizi ya Ansarullah dhidi ya mji wa Abha huko Saudi Arabia
Sep 11, 2020 20:10Katika siku za karibuni jeshi na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen wamekuwa wakishambulia uwanja wa ndege wa Abha katika mkoa wa Asir huko kusini mwa Saudi Arabia kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drone).
-
Ansarullah ya Yemen yapiga kwa kombora, droni maeneo ya kistratajia Riyadh, Saudia
Sep 11, 2020 00:15Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelenga kwa kombora la balestiki na ndege zisizo na rubani (droni) maeneo ya kistratajia ndani ya mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
-
Al Houthi: Saudi Arabia na Imarati ni vinara wa unafiki
Aug 30, 2020 22:43Katibu Mkuu wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa Saudi Arabia na Imarati ni vinara wa kambi ya unafiki.
-
Ansarullah: Kimya cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mbele ya mapatano ya Abu Dhabi-Tel Aviv kinaaibisha
Aug 17, 2020 02:16Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya wananchi wa Yemen amesema kuwa kimya cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) mbele ya hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel ni fedheha na aibu kubwa.
-
Ansarullah: Kambi ya Muqawama itaendelea kukabiliana na Marekani, Israel
Jul 27, 2020 07:47Harakati ya Ansarullah ya wananchi wa Yemen imetangaza kuwa pande zote za Muqawama ni kambi moja inayopambana na ubeberu wa Marekani.
-
Shambulio la Muungano wa Kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya mji wa al-Jawf; kusubiriwa jibu kali la Ansarullah
Jul 17, 2020 22:05Ndege za kijeshi za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen hivi karibuni ulifanya shambulio la anga dhidi ya sherehe ya harusi ya kabila la Bani Nouf katika mji wa Hazm mkoani al-Jawf na kusababisha kwa akali watu 24 kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Ansarullah yapinga mapendekezo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen
Jul 10, 2020 20:12Harakati ya Ansarullah ya Yemen imepinga mpango uliopendekezwa na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo, Martin Griffiths kuhusu mgogoro wa Yemen ikisema unapendelea muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.