-
Siku ya Kimataifa ya Quds: Viongozi wa Hamas, Ansarullah na Hizbullah wazungumza
May 21, 2020 03:01Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema "Muamala wa Karne" unakusudia kusambaratisha kadhia ya Palestina.
-
Answarullah: Njia ya kuuokoa uchumi wa Saudia, ni kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen
May 04, 2020 08:15Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen amesisitiza kwamba, njia bora ya kuuokoa uchumi wa Saudia ni kwa nchi hiyo kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen.
-
Wanamgambo wa Imarati wajitangazia uhuru kusini mwa Yemen; Answarullah yalaani
Apr 26, 2020 11:26Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani hatua ya wanamgambo wa Umoja wa Falme za Kiarabu ya kujitangazia uhuru huko kusini mwa Yemen na kusema kuwa, hatua hiyo ni kutangaza kujitoa kikamilifu wanamgambo hao katika makubaliano ya Riyadh kati yao na serikali iliyojiuzulu ya Abdu Rabbuh Mansour Hadi.
-
Vikosi vya Yemen vyadhibiti kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya muungano wa Saudia katika mkoa wa Marib
Mar 18, 2020 03:07Jeshi la Yemen linaloshirikiana na kamati za Harakati ya Wananchi ya Answarullah limefanikiwa kudhibiti eneo la Kufal, ambapo kuna kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia katika mkoa wa Marib, katikati mwa nchi.
-
Answarullah: Kusimamishwa vita na kuondolewa mzingiro Yemen, ndilo sharti la kila mazungumzo
Mar 09, 2020 02:54Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa kuanza mazungumzo yoyote kunategemea kusimamishwa uvamizi wa muungano wa Saudia dhidi ya Yemen sambamba na kuondolewa mzingiro nchi hiyo.
-
Ansarullah: Marekani na Uingereza zinaongoza vita vya muungano wa Saudia nchini Yemen
Mar 06, 2020 11:04Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Watu wa Yemen amesema kuwa washauri wa kijeshi wa Marekani na Uingereza wanaongoza mashambulizi yanayofanywa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia tena Aramco ya Saudia
Feb 22, 2020 02:46Kwa mara nyingine tena vikosi vya jeshi la Yemen vimefanya mashamblizi kwa kutumia makombora dhidi ya taasisi za shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia la Aramco katika mkoa wa Madina, magharibi mwa Saudia.
-
Yemen yakadhibisha madai ya Saudia na Imarati ya kuhusika Ansarullah katika shambulio kubwa huko Ma'rib
Jan 21, 2020 12:11Harakati ya wapiganaji wa Ansarullah wa Yemen imekanusha madai ya Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba ndiyo iliyohusika na shambulio kali la kombora katika ngome za wanamgambo wenye mfungamano na Riyadh katika mji wa Ma'rib kusini mwa Yemen.
-
Answarullah ya Yemen: Damu ya Jenerali Qasem Soleimani imeainisha njia ya kuhitimisha uwepo wa Marekani katika eneo
Jan 06, 2020 13:37Salim Al-Mughlis, Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah ya nchini Yemen amesema kuwa shahidi Qassem Soleimani ameainisha njia ya kuhitimisha uwepo wa Marekani katika eneo hili.
-
Muhammad al Houthi: Saudi Arabia inapasa kukubali amani ili kuhitimisha matatizo ya kiuchumi yanayoikabili
Dec 29, 2019 08:01Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa Saudi Arabia inapasa kukubali amani ili kupunguza gharama kubwa za kuendesha vita huko Yemen ambazo zimeipelekea nchi hiyo ikabiliwe na matatizo chungu nzima ya kiuchumi.