-
Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu
Jun 19, 2020 23:33Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amezionya vikali Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya kuendeleza njama za kutaka kuufanya wa kawaida uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kwamba, Riyadh na Abu Dhabi zinashirikiana na Tel Aviv ambayo inajulikana ni adui mkubwa wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Ansarullah nayo yauponda Umoja wa Mataifa, yakosoa kuondolewa Saudia katika 'orodha ya fedheha'
Jun 16, 2020 08:28Harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah imeutaka Umoja wa Mataifa kutupilia mbali uamuzi wake wa kuliondoa jina la Saudi Arabia na washirika wake katika orodha ya makundi yanayokanyaga na kuvunja haki za watoto.
-
Ansarullah yafichua nafasi ya Israel na US katika mashambulizi dhidi ya Yemen
May 24, 2020 05:12Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya nchini Yemen amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni washirika wa muungano vamizi wa kijeshi unaofanya mashambulizi dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds: Viongozi wa Hamas, Ansarullah na Hizbullah wazungumza
May 20, 2020 22:31Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema "Muamala wa Karne" unakusudia kusambaratisha kadhia ya Palestina.
-
Answarullah: Njia ya kuuokoa uchumi wa Saudia, ni kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen
May 04, 2020 03:45Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen amesisitiza kwamba, njia bora ya kuuokoa uchumi wa Saudia ni kwa nchi hiyo kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen.
-
Wanamgambo wa Imarati wajitangazia uhuru kusini mwa Yemen; Answarullah yalaani
Apr 26, 2020 06:56Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani hatua ya wanamgambo wa Umoja wa Falme za Kiarabu ya kujitangazia uhuru huko kusini mwa Yemen na kusema kuwa, hatua hiyo ni kutangaza kujitoa kikamilifu wanamgambo hao katika makubaliano ya Riyadh kati yao na serikali iliyojiuzulu ya Abdu Rabbuh Mansour Hadi.
-
Vikosi vya Yemen vyadhibiti kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya muungano wa Saudia katika mkoa wa Marib
Mar 17, 2020 23:37Jeshi la Yemen linaloshirikiana na kamati za Harakati ya Wananchi ya Answarullah limefanikiwa kudhibiti eneo la Kufal, ambapo kuna kambi kubwa zaidi ya kijeshi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia katika mkoa wa Marib, katikati mwa nchi.
-
Answarullah: Kusimamishwa vita na kuondolewa mzingiro Yemen, ndilo sharti la kila mazungumzo
Mar 08, 2020 23:24Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa kuanza mazungumzo yoyote kunategemea kusimamishwa uvamizi wa muungano wa Saudia dhidi ya Yemen sambamba na kuondolewa mzingiro nchi hiyo.
-
Ansarullah: Marekani na Uingereza zinaongoza vita vya muungano wa Saudia nchini Yemen
Mar 06, 2020 07:34Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Watu wa Yemen amesema kuwa washauri wa kijeshi wa Marekani na Uingereza wanaongoza mashambulizi yanayofanywa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia tena Aramco ya Saudia
Feb 21, 2020 23:16Kwa mara nyingine tena vikosi vya jeshi la Yemen vimefanya mashamblizi kwa kutumia makombora dhidi ya taasisi za shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia la Aramco katika mkoa wa Madina, magharibi mwa Saudia.