-
Msemaji wa Ansarullah: Vita vya Yemen ni wenzo wa kufanikisha "Muamala wa Karne"
Sep 14, 2018 19:28Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen ni kibiashara inayotumiwa na Marekani ili kuendeleza njama mpya ya Washington na Wazayuni ya "Muamala wa Karne" dhidi ya Palestina.
-
Wizara: Saudi Arabia inakwamisha juhudi za kutatuliwa kisiasa mgogoro wa Yemen
Sep 06, 2018 09:59Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Yemen imetangaza katika taarifa yake kwamba, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umeuzuia ujumbe wa Ansarullah kushiriki katika mazungumzo ya amani ya Geneva Uswisi.
-
Majeshi wa majini ya Yemen yalenga meli ya kivita ya Saudia pwani ya Jizan
Sep 01, 2018 21:50Majeshi ya majini ya Yemen, yakishirikiana na Kamati za Wananchi, yamelenga meli ya kivita ya Saudia katika eneo la mpakani la Jizan kusini magharibi mwa Saudi Arabia.
-
Answarullah: Jinai za Saudia nchini Yemen zimeifedhehesha UN na asasi za kimataifa
Aug 24, 2018 03:44Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani vikali shambulizi la kinyama la ndege za muungano vamizi wa Saudi Arabia katika mkoa wa Al-Hudaydah na kusema kuwa hujuma hizo zimezifedhehesha mno asasi za kimataifa pamoja na Umoja wa Mataifa kutokana na udhaifu wake.
-
Answarullah: Magaidi ni jeshi la pili la Saudi Arabia
Aug 17, 2018 23:55Muhammad Ali al Houthi, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani taarifa ya kutangazwa uungaji mkono wa kifedha wa Saudia kwa muungano wa kimataifa wa kijeshi wa eti kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani nchini Syria na kusema, magaidi ni jeshi la pili la Riyadh.
-
Ansarullah yalaani kufukuzwa balozi wa Canada nchini Saudia, yamkaribisha Yemen
Aug 06, 2018 03:36Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani kitendo cha Saudi Arabia cha kumfukuza balozi wa Canada mjini Riyadh na kuitaka Ottawa kufungua ubalozi wake San'a, mji mkuu wa Yemen.
-
Ansarullah: Tutaigeuza miji ya pwani ya magharibi mwa Yemen kuwa makaburi ya wavamizi
Aug 05, 2018 03:38Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, harakati hiyo itaigeuza miji ya pwani ya magharibi mwa nchi hiyo kuwa makaburi ya vikosi vamizi vinavyoongozwa na Saudi Arabia.
-
Msemaji wa Ansarullah ya Yemen: UAE ni kibaraka wa Marekani
Jul 30, 2018 09:54Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Bila Marekani, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) si lolote si chochote na ni dhaifu mno kuweza hata kupigana vita na kijiji kimoja cha Yemen.
-
Utayarifu wa Yemen kwa ajili ya kushadidisha mashambulizi dhidi ya wavamizi
Jul 07, 2018 06:31Mohammed Abdulsalam msemaji rasmi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amebainisha kwamba vikosi vya kujitolea vya wananchi na jeshi la nchi hiyo vipo tayari kushadidisha mashambulizi dhidi ya muungano vamizi unaoongozwa na Marekani na Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Yemen.
-
Ansarullah: Madai ya Imarati ya kusimamisha hujuma zake Hudaydah ni urongo
Jul 02, 2018 02:30Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekadhibisha madai yaliyotolewa na Umoja wa Falme za Kiarabu kwamba eti imesitisha oparesheni ya kutaka kukalia kwa mabavu mji wa bandari wa al-Hudaydah nchini Yemen.