-
Answarullah: Sio kweli kwamba tumekubali kuukabidhi Umoja wa Mataifa bandari ya Al Hudaydah
Jun 28, 2018 09:11Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen imekadhibisha baadhi ya habari za vyombo vya habari vya nchi za Magharibi kwamba imekubali kukabidhi usimamizi wa bandari ya Al Hudaydah kwa Umoja wa Mataifa.
-
Tathmini ya Abdul Malik al Houthi kuhusu vita dhidi ya bandari ya al Hudaydah nchini Yemen.
Jun 16, 2018 02:23Abdul Malik al Houthi, Katibu Mkuu wa Harakati ya Answarullah ya Yemen ametoa hotuba maalumu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr na kutathmmini matukio ya hivi karibuni ya Yemen na medani ya vita katika mji wa bandari wa al Hudaydah akisisitiza kuwa Israel, Marekani na Saudi Arabia zote zinashiriki kikamilifu katika vita hivyo.
-
Ansarullah: Al-Hudaydah itakuwa makaburi ya askari vamizi
Jun 15, 2018 00:07Kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya wananchi ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa, shambulizi dhidi ya meli ya kivita ya Saudi Arabia katika pwani ya al-Hudaydah ni jibu imara dhidi ya wavamizi linalotoa ujumbe wa wazi kwamba, eneo hilo litakuwa makaburi ya askari vamizi.
-
Answarullah: Kuna mpasuko mkubwa katika muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Yemen
May 22, 2018 09:53Mwakilishi wa Harakati ya Kiislamu ya Answarullah huko Iraq, ameelezea kuwepo mpasuko mkubwa ndani ya safu ya muungano vamizi dhidi ya Yemen ambao unaongozwa na Saudi Arabia.
-
Mamluki wa Saudia raia wa Sudan waendelea kuangamizwa Yemen
Apr 22, 2018 09:26Makumi ya mamluki wa Sudan waliokodishwa na Saudi Arabia wameuawa na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen katika eneo la Asir, lililoko katika mpaka wa kusini magharibi mwa Saudia.
-
Answarullah ya Yemen yaiunga mkono Somalia; yaionya Imarati
Apr 21, 2018 02:57Muhammad Ali al Houthi, mkuu wa Kamati Kuu za Mapinduzi ya Yemen ameiunga mkono Somalia katika mgogoro wake na Imarati ambayo inaingilia waziwazi masuala ya ndani ya Somalia na kuitahadharisha Abu Dhabi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Mogadishu.
-
Abdul-Malik al-Houthi: Ujuha wa Waarabu umetoa huduma kubwa kwa Marekani na Israel
Apr 13, 2018 23:46Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, ujuha na ujinga wa Waarabu umetoa huduma kubwa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.
-
Answarullah yakadhibisha madai ya Mohammad Bin Salman kuhusu Yemen
Mar 07, 2018 11:18Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, matamshi ya Mohammad Bin Salman Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia kwamba vita nchini Yemen vinakaribia kuisha ni uongo mtupu.
-
Komandi ya kijeshi ya Imarati yashambuliwa kwa kombora la belestiki Yemen
Feb 23, 2018 21:19Jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen zimeshambulia kwa kombora la belestiki komandi wa kijeshi ya wanajeshi vamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika mkoa wa Ma'rib nchini Yemen.
-
Wakuu wa Iran, Ansarullah wajadili suluhisho la kisiasa Yemen, utoaji misaada
Feb 13, 2018 23:22Maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Ansarullah ya Yemen wamefanya mazungumzo mjini Tehran kujadili njia za kuhitimisha mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo ya Kiarabu na udharura wa kuwaikifhsia misaada wananchi wake.