-
Wanawake wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen wako tayari kuingia vitani dhidi ya Saudia
Jan 15, 2018 03:16Wanawake wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen jana Jumapili waliandamana kulaani hujuma za kinyama za Saudia dhidi ya raia nchini humo na kusema wako tayari kuingia vitani kukabiliana na wavamizi.
-
UN: Answarullah imefungamana na mazungumzo ya amani
Jan 12, 2018 07:53Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amesema kuwa, harakati ya wananchi ya Answarullah nchini humo imetoa taarifa ya kuheshimu na kufungamana na suala la kuanza upya mazungumzo ya amani nchini humo.
-
Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake
Dec 27, 2017 07:16Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen: Wakidondosha mabomu Sanaa tutavurumisha makombora Riyadh na Abu Dhabi
Dec 20, 2017 08:04Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Sayyed Abdul-Malik Badruddin al Houthi amesema: "Wavamizi wakidondosha mabomu mjini Sanaa nasi tutavurumisha makombora yetu Riyadh na Abu Dhabi. Kila siku Makombora ya Wayemen yanazidi kuimarika na yanaweza kulenga masafa marefu."
-
Iran yamuita balozi wa Uswisi kulalamikia madai bandia ya Marekani
Dec 20, 2017 02:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Uswisi mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia madai ya hivi karibuni ya Marekani kwamba makombora yanayofyatuliwa na vikosi vya Yemen dhidi ya Saudia yametoka Iran.
-
Ansarullah yavurumisha kombora la balestiki kulenga kasri ya Mfalme wa Saudia
Dec 19, 2017 13:29Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefyatua kombora la balestiki kuilenga Kasri ya al-Yamamah, makazi rasmi ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia katika mji mkuu Riyadh.
-
Ansarullah yasema imezima tishio kuu kwa usalama wa Yemen
Dec 05, 2017 07:58Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema harakati hiyo imefanikiwa kutibua tishio kuu kwa usalama wa nchi hiyo, kwa kuzima njama zilizoliwa na rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeuawa hapo jana, Ali Abdullah Saleh na vikosi vitiifu kwake.
-
Iran yatoa wito wa mazungumzo baina ya Wayemen ili kuvunja njama za adui
Dec 04, 2017 07:00Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema mazungumzo ni njia bora zaidi kwa makundi mbali mbali ya Yemen kutatua migogoro yao na kuzuia maadui wa kigeni kutumia vibaya mgogoro uliopo nchini humo.
-
Baada ya Abdullah Swaleh kuisaliti Yemen, Answarullah wadhibiti ofisi yake mjini Sana'a
Dec 03, 2017 14:44Askari wa usalama nchini Yemen wamedhibiti ofisi ya Ali Abdullah Saleh, rais wa zamani wa Yemen aliyoitumia kutoa taarifa ya usaliti dhidi ya taifa hilo jana Jumamosi.
-
Harakati ya Ansarullah yavionya baadhi ya vyama vinavyovuruga usalama wa Yemen
Dec 02, 2017 04:35Harakati yya Ansarullah ya Yemen imetahadharisha kuhusiana na njama za baadhi ya vyama zinazolenga kuvuruga amani na usalama wa nchi hityo inayokabiliwa na hujuma na mashambulio ya kiijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake.