-
Ali Al-Kahum: Amani nchini Yemen itapatikana kwa kufukuzwa vikosi vya kigeni
Feb 27, 2023 11:21Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema Marekani na Uingereza zinakwamisha operesheni za misaada ya kibinadamu nchini Yemen na kusisitiza kuwa: Njia ya kurejesha amani nchini humo inapitia lango la kufukuzwa vikosi vya kigeni kutoka nchi hiyo.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Imam Hussein (AS) alisimama kupambana ili kuuokoa Uislamu
Aug 09, 2022 02:54Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
-
Ansarullah yalaani vikali mwandishi wa habari mzayuni kukanyaga ardhi tukufu ya Makka
Jul 24, 2022 02:23Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali hatua ya Saudi Arabia ya kutoa kibali kwa mwandishi wa habari mzayuni wa Israel kufika kwenye ardhi tukufu ya Makka.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Saudia inawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza Hija kwa sababu za kisiasa
Jul 09, 2022 09:48Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Saudi Arabia unawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza ibada ya Hija kwa sababu ya misimamo ya kisiasa ya ukoo wa Aal Saud au misimamo ya Marekani na Israel dhidi ya Waislamu hao.
-
Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili
Jun 06, 2022 10:13Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW ni ishara ya wazi ya kufilisika kimaadili.
-
Ansarullah yawapongeza Wapalestina kwa kusimama kidete kuulinda Msikiti wa al Aqsa
May 30, 2022 10:19Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelipongeza taifa la Palestina kwa kusimama kiume kukihami na kukilinda Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Msikiti wa al Aqsa katika siku ya "Maandamano ya Bendera."
-
Al-Houthi: Marekani inasaidiana na magaidi kujenga vituo vya kijeshi Yemen
May 21, 2022 03:54Kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani, ikishirikiana na magaidi wakufurishaji ambao ni waitifaki wake, inajenga vituo kadhaa vya kijeshi katika mikoa ya mashariki mwa nchi hiyo ya Hadhramaut na al-Mahrah na hali kadhalika mji wa Aden na pwani ya Bahari ya Sham.
-
Ansarullah yakaribisha kujiuzulu Hadi, yapinga mazungumzo ya Wayemen huko Saudia
Apr 09, 2022 02:25Harakati ya Ansarullah ya Yemen sambamba na kupongeza hatua ya Abdrabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudi Arabia kutangaza rasmi kuachia ngazi, imesema kitendo hicho kimeufanya Umoja wa Mataifa usiwe tena na kijisababu cha kuendelea kuwaunga mkono wavamizi wa nchi hiyo maskini, wakiongozwa na Saudia.
-
Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen; tamthilia ya kisiasa kwa msaada wa Marekani na Umoja wa Mataifa
Mar 31, 2022 09:47Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen kimeanza bila ya kushiriki serikali ya Abdu Rabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudia, na bila ya kushiriki pia Serikali ya Wokovu wa Kitaifa yenye makao yake Sana'a.
-
Sanaa: Makombora ya Yemen, ndege zisizo na rubani zitapindua viti vya wafalme wa nchi vamizi
Mar 21, 2022 06:43Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limetangaza kuwa, mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi la nchi hiyo yataangusha viti vya wafalme wa nchi vamizi na kuwathibitishia kwa mara nyingine kwamba Yemen litakuwa kaburi la wavamizi hao.