Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ali Al-Kahum: Amani nchini Yemen itapatikana kwa kufukuzwa vikosi vya kigeni

    Ali Al-Kahum: Amani nchini Yemen itapatikana kwa kufukuzwa vikosi vya kigeni

    Feb 27, 2023 11:21

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema Marekani na Uingereza zinakwamisha operesheni za misaada ya kibinadamu nchini Yemen na kusisitiza kuwa: Njia ya kurejesha amani nchini humo inapitia lango la kufukuzwa vikosi vya kigeni kutoka nchi hiyo.

  • Kiongozi wa Ansarullah: Imam Hussein (AS) alisimama kupambana ili kuuokoa Uislamu

    Kiongozi wa Ansarullah: Imam Hussein (AS) alisimama kupambana ili kuuokoa Uislamu

    Aug 09, 2022 02:54

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.

  • Ansarullah yalaani vikali mwandishi wa habari mzayuni kukanyaga ardhi tukufu ya Makka

    Ansarullah yalaani vikali mwandishi wa habari mzayuni kukanyaga ardhi tukufu ya Makka

    Jul 24, 2022 02:23

    Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali hatua ya Saudi Arabia ya kutoa kibali kwa mwandishi wa habari mzayuni wa Israel kufika kwenye ardhi tukufu ya Makka.

  • Kiongozi wa Ansarullah: Saudia inawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza Hija kwa sababu za kisiasa

    Kiongozi wa Ansarullah: Saudia inawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza Hija kwa sababu za kisiasa

    Jul 09, 2022 09:48

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Saudi Arabia unawazuia baadhi ya Waislamu kutekeleza ibada ya Hija kwa sababu ya misimamo ya kisiasa ya ukoo wa Aal Saud au misimamo ya Marekani na Israel dhidi ya Waislamu hao.

  • Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili

    Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili

    Jun 06, 2022 10:13

    Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW ni ishara ya wazi ya kufilisika kimaadili.

  • Ansarullah yawapongeza Wapalestina kwa kusimama kidete kuulinda Msikiti wa al Aqsa

    Ansarullah yawapongeza Wapalestina kwa kusimama kidete kuulinda Msikiti wa al Aqsa

    May 30, 2022 10:19

    Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelipongeza taifa la Palestina kwa kusimama kiume kukihami na kukilinda Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Msikiti wa al Aqsa katika siku ya "Maandamano ya Bendera."

  • Al-Houthi: Marekani inasaidiana na magaidi kujenga vituo vya kijeshi Yemen

    Al-Houthi: Marekani inasaidiana na magaidi kujenga vituo vya kijeshi Yemen

    May 21, 2022 03:54

    Kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani, ikishirikiana na magaidi wakufurishaji ambao ni waitifaki wake, inajenga vituo kadhaa vya kijeshi katika mikoa ya mashariki mwa nchi hiyo ya Hadhramaut na al-Mahrah na hali kadhalika mji wa Aden na pwani ya Bahari ya Sham.

  • Ansarullah yakaribisha kujiuzulu Hadi, yapinga mazungumzo ya Wayemen huko Saudia

    Ansarullah yakaribisha kujiuzulu Hadi, yapinga mazungumzo ya Wayemen huko Saudia

    Apr 09, 2022 02:25

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen sambamba na kupongeza hatua ya Abdrabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudi Arabia kutangaza rasmi kuachia ngazi, imesema kitendo hicho kimeufanya Umoja wa Mataifa usiwe tena na kijisababu cha kuendelea kuwaunga mkono wavamizi wa nchi hiyo maskini, wakiongozwa na Saudia.

  • Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen; tamthilia ya kisiasa kwa msaada wa Marekani na Umoja wa Mataifa

    Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen; tamthilia ya kisiasa kwa msaada wa Marekani na Umoja wa Mataifa

    Mar 31, 2022 09:47

    Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen kimeanza bila ya kushiriki serikali ya Abdu Rabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudia, na bila ya kushiriki pia Serikali ya Wokovu wa Kitaifa yenye makao yake Sana'a.

  • Sanaa: Makombora ya Yemen, ndege zisizo na rubani zitapindua viti vya wafalme wa nchi vamizi

    Sanaa: Makombora ya Yemen, ndege zisizo na rubani zitapindua viti vya wafalme wa nchi vamizi

    Mar 21, 2022 06:43

    Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limetangaza kuwa, mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi la nchi hiyo yataangusha viti vya wafalme wa nchi vamizi na kuwathibitishia kwa mara nyingine kwamba Yemen litakuwa kaburi la wavamizi hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS