Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Hizbullah yaikosoa Bahrain kwa kuruhusu kufunguliwa ubalozi wa Israel

    Hizbullah yaikosoa Bahrain kwa kuruhusu kufunguliwa ubalozi wa Israel

    Sep 06, 2023 10:36

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeujia juu utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain kwa kuuruhusu utawala haramu wa Israel kufungua ubalozi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu ya Ghuba ya Uajemi.

  • Mama wa wafungwa wa kisiasa Bahrain wajiunga na kampeni ya watoto wao ya kususia kula

    Mama wa wafungwa wa kisiasa Bahrain wajiunga na kampeni ya watoto wao ya kususia kula

    Aug 30, 2023 13:29

    Baadhi ya akina mama wa wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain wameanza mgomo wa kususia kula wakipinga hali mbaya ya magereza na kuwaunga mkono watoto wao.

  • Wabahrain waandamana kuwaunga mkono wafungwa waliogoma kula

    Wabahrain waandamana kuwaunga mkono wafungwa waliogoma kula

    Aug 19, 2023 10:20

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mjuu Manama, kwa shabaha ya kuwaunga mkono na kusimama pamoja na wafungwa waliogoma kula wakilalamikia hali mbaya ya jela.

  • Jumatatu tarehe 14 Agosti, 2023

    Jumatatu tarehe 14 Agosti, 2023

    Aug 14, 2023 07:47

    Leo ni Jumatatu mwezi 27 Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Agosti 2023.

  • Upinzani Bahrain wapinga kuajiriwa madaktari wa Israel

    Upinzani Bahrain wapinga kuajiriwa madaktari wa Israel

    Aug 08, 2023 07:22

    Mrengo mkubwa zaidi wa upinzani Bahrain umekosoa vikali azma ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuwaajiri madaktari wa utawala haramu wa Israel katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Human Rights Watch yakosoa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain

    Human Rights Watch yakosoa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain

    Jul 09, 2023 04:36

    Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa ubaguzi unaofanywa na utawala wa Bahrain dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo na kutoa mwito wa kuhitimisha ubaguzi huo.

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Jun 15, 2023 11:47

    Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kuwakamata kiholela vijana wa kiume na kike wa nchi hiyo katika maeneo tofauti ya nchi kwa sababu za kisiasa.

  • Wabahrain waujia juu ubalozi wa Marekani mjini Manama kwa kutangaza ushoga nchini humo

    Wabahrain waujia juu ubalozi wa Marekani mjini Manama kwa kutangaza ushoga nchini humo

    Jun 05, 2023 10:18

    Wananchi wa Bahrain wametangaza hasira na masikitiko yao kutokana na kuwekwa bendera ya mashoga na mabaradhuli kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya ubalozi wa Marekani mjini Manama na uungaji mkono wa ubalozi huo kwa kampeni ya kueneza ushoga nchini mwao.

  • Ijumaa, Mei 12, 2023

    Ijumaa, Mei 12, 2023

    May 12, 2023 01:11

    Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 12 Mei mwaka 2023 Milaadia.

  • Amnesty International: Utawala wa Bahrain ungali unakandamiza uhuru wa kujieleza

    Amnesty International: Utawala wa Bahrain ungali unakandamiza uhuru wa kujieleza

    Apr 01, 2023 09:19

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetangaza kuwa, utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea kukandamiza uhuru wa kujieleza na kuendelea kuwashikilia wafungwa raia wanaoukosoa utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS