-
Hizbullah yaikosoa Bahrain kwa kuruhusu kufunguliwa ubalozi wa Israel
Sep 06, 2023 10:36Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeujia juu utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain kwa kuuruhusu utawala haramu wa Israel kufungua ubalozi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu ya Ghuba ya Uajemi.
-
Mama wa wafungwa wa kisiasa Bahrain wajiunga na kampeni ya watoto wao ya kususia kula
Aug 30, 2023 13:29Baadhi ya akina mama wa wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain wameanza mgomo wa kususia kula wakipinga hali mbaya ya magereza na kuwaunga mkono watoto wao.
-
Wabahrain waandamana kuwaunga mkono wafungwa waliogoma kula
Aug 19, 2023 10:20Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mjuu Manama, kwa shabaha ya kuwaunga mkono na kusimama pamoja na wafungwa waliogoma kula wakilalamikia hali mbaya ya jela.
-
Jumatatu tarehe 14 Agosti, 2023
Aug 14, 2023 07:47Leo ni Jumatatu mwezi 27 Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Agosti 2023.
-
Upinzani Bahrain wapinga kuajiriwa madaktari wa Israel
Aug 08, 2023 07:22Mrengo mkubwa zaidi wa upinzani Bahrain umekosoa vikali azma ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuwaajiri madaktari wa utawala haramu wa Israel katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Human Rights Watch yakosoa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain
Jul 09, 2023 04:36Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa ubaguzi unaofanywa na utawala wa Bahrain dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo na kutoa mwito wa kuhitimisha ubaguzi huo.
-
Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain
Jun 15, 2023 11:47Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kuwakamata kiholela vijana wa kiume na kike wa nchi hiyo katika maeneo tofauti ya nchi kwa sababu za kisiasa.
-
Wabahrain waujia juu ubalozi wa Marekani mjini Manama kwa kutangaza ushoga nchini humo
Jun 05, 2023 10:18Wananchi wa Bahrain wametangaza hasira na masikitiko yao kutokana na kuwekwa bendera ya mashoga na mabaradhuli kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya ubalozi wa Marekani mjini Manama na uungaji mkono wa ubalozi huo kwa kampeni ya kueneza ushoga nchini mwao.
-
Ijumaa, Mei 12, 2023
May 12, 2023 01:11Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 12 Mei mwaka 2023 Milaadia.
-
Amnesty International: Utawala wa Bahrain ungali unakandamiza uhuru wa kujieleza
Apr 01, 2023 09:19Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetangaza kuwa, utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea kukandamiza uhuru wa kujieleza na kuendelea kuwashikilia wafungwa raia wanaoukosoa utawala huo.