Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Jun 15, 2023 08:17

    Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kuwakamata kiholela vijana wa kiume na kike wa nchi hiyo katika maeneo tofauti ya nchi kwa sababu za kisiasa.

  • Wabahrain waujia juu ubalozi wa Marekani mjini Manama kwa kutangaza ushoga nchini humo

    Wabahrain waujia juu ubalozi wa Marekani mjini Manama kwa kutangaza ushoga nchini humo

    Jun 05, 2023 06:48

    Wananchi wa Bahrain wametangaza hasira na masikitiko yao kutokana na kuwekwa bendera ya mashoga na mabaradhuli kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya ubalozi wa Marekani mjini Manama na uungaji mkono wa ubalozi huo kwa kampeni ya kueneza ushoga nchini mwao.

  • Ijumaa, Mei 12, 2023

    Ijumaa, Mei 12, 2023

    May 11, 2023 21:41

    Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria sawa na tarehe 12 Mei mwaka 2023 Milaadia.

  • Amnesty International: Utawala wa Bahrain ungali unakandamiza uhuru wa kujieleza

    Amnesty International: Utawala wa Bahrain ungali unakandamiza uhuru wa kujieleza

    Apr 01, 2023 05:49

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetangaza kuwa, utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea kukandamiza uhuru wa kujieleza na kuendelea kuwashikilia wafungwa raia wanaoukosoa utawala huo.

  • Jumuiya ya al-Wifaq: Bahrain imegeuzwa na kufanywa kaburi la haki za binadamu

    Jumuiya ya al-Wifaq: Bahrain imegeuzwa na kufanywa kaburi la haki za binadamu

    Mar 06, 2023 04:11

    Jumuiya ya Kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imetangaza kuwa, nchi ya Bahrain imegeuzwa na kufanywa kuwa kaburi la haki za binadamu na kwamba, haipaswi kughafilika na hatua zinazochukuliwa na utawala huo ambazo ni kinyume cha sheria.

  • Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi

    Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi

    Jan 28, 2023 23:05

    Katika kukaribia maadhimisho ya kutimia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain unawazuia wafungwa wa kisiasa nchini humo kuwasiliana na kuoana na familia zao katika fremu ya sera zake za ukandamizaji na kuwawekea mbinyo na vizingiti mbalimbali wafungwa wa kisiasa na wapinzani nchini humo.

  • Mwanazuoni wa Bahrain: Ni haramu kuwauzia ardhi Mayahudi

    Mwanazuoni wa Bahrain: Ni haramu kuwauzia ardhi Mayahudi

    Jan 07, 2023 03:40

    Imamu Sala ya Ijumaa katika mji wa Al-Diraz nchini Bahrain, amesema kuwauzia ardhi Wayahudi ni sawa na kuiuza nchi na ni haramu.

  • Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 26, 2022 04:06

    Wananchi wa Bahrain wameandamana kulalalamikia na kulaani hatua ya nchi yao ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao

    Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao

    Dec 05, 2022 22:47

    Maandamano makubwa ya kupinga safari ya Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel yamefanyika katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

  • Mrithi wa Ufalme Bahrain apewa mwaliko na Netanyahu

    Mrithi wa Ufalme Bahrain apewa mwaliko na Netanyahu

    Nov 14, 2022 07:27

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa zamani wa Israel anayetazamiwa kuunda serikali mpya ya utawala wa Kizayuni amemualika Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Bahrain, Salman bin Hamad Aal Khalifah kuitembelea ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina la Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS