Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Safari ya Papa na mchezo mpya wa Al Khalifa; Uvumilivu kwa wasio Waislamu na ukatili dhidi ya Waislamu wa Bahrain

    Safari ya Papa na mchezo mpya wa Al Khalifa; Uvumilivu kwa wasio Waislamu na ukatili dhidi ya Waislamu wa Bahrain

    Nov 06, 2022 22:45

    Safari ya Kiongozi wa Kanisa katoliki Duniani, Papa Francis, nchini Bahrain kwa ajili eti ya kushiriki katika mkutano wa "Amani na Kuishi Pamoja" imefanyika katika hali ambayo hakushuhudiwi amani wala kuishi pamoja kwa usalama nchini Bahrain.

  • Sheikh Isa Qassim: Uchaguzi ujao unalenga kuimarisha udikteta Bahrain

    Sheikh Isa Qassim: Uchaguzi ujao unalenga kuimarisha udikteta Bahrain

    Nov 03, 2022 22:54

    Kiongozi mashuhuri wa kidini nchini Bahrain amesema uchaguzi ujao wa Bunge nchini humo hauna lengo jingine isipokuwa kuimarisha mienendo ya kiimla na kidikteta ya watawala wa Aal-Khalifa.

  • Ukiukwaji wa haki za binadamu; ombi la makundi ya kutetea haki za binadamu kwa Papa

    Ukiukwaji wa haki za binadamu; ombi la makundi ya kutetea haki za binadamu kwa Papa

    Nov 02, 2022 04:35

    Taasisi 9 za kutetea haki za binadamu zimetangaza kuwa, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani akiwa ziarani huko Bahrain anapasa kutoa wito kwa watawala wa nchi hiyo ili wakomeshe hatua zao za kukiuka haki za binadamu.

  • HRW: Utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani

    HRW: Utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani

    Oct 31, 2022 22:58

    Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani.

  • Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

    Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

    Oct 26, 2022 09:27

    Wanazuoni wa Bahrain wanaosota kwenye jela za utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa ukoo wa Aal Khhalifa wameeleza katika taarifa waliyotoa kumhutubu Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis kwamba, wanatumai kiongozi huyo wa kidini atasema ukweli na kuitikia wito wa imani katika ziara yake ijayo huko Bahrain.

  • Sheikh Isa Qassem: Viongozi wa dini mbalimbali msiamini madai ya utawala wa Bahrain

    Sheikh Isa Qassem: Viongozi wa dini mbalimbali msiamini madai ya utawala wa Bahrain

    Oct 22, 2022 09:02

    Kiongozi wa kidini wa Mapinduzi ya Bahrain amewataka washiriki wa kongamano la viongozi wa dini duniani wasiamini kaulimbiu na madai ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo kuhusu watu kuishi kwa amani na masikilizano.

  • Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji

    Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji

    Oct 05, 2022 23:50

    Bahrain imelazimika kujiondoa kwenye uchaguzi ujao wa kuwasaka wanachama wapya wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), kufuatia jitihada na lalama za asasi za kutetea haki za binadamu juu ya rekodi nyeusi ya serikali ya Manama.

  • BCHR: Hali ya kibinadamu katika gereza kuu la Jau Bahrain ni mbaya

    BCHR: Hali ya kibinadamu katika gereza kuu la Jau Bahrain ni mbaya

    Sep 19, 2022 21:54

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain (BCHR) kimetangaza kuwa, hali ya wafungwa wanaoshikiliwa katika gereza la Jau nchini humo ni mbaya sana.

  • Bahrain inaongoza kwa idadi ya wafungwa wa kisiasa Uarabuni

    Bahrain inaongoza kwa idadi ya wafungwa wa kisiasa Uarabuni

    Sep 14, 2022 03:11

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain (BCHR) kimesema Bahrain inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya wafungwa wa kisiasa miongoni mwa nchi zote za Kiarabu.

  • Jumuiya ya al-Wifaq: Uchaguzi ujao wa Bunge Bahrain ni wa kuimarisha dhulma

    Jumuiya ya al-Wifaq: Uchaguzi ujao wa Bunge Bahrain ni wa kuimarisha dhulma

    Sep 10, 2022 23:59

    Jumuiya ya Kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imetangaza kuwa, uchaguzi ujao wa Bunge nchini humo ni wenzo na chombo cha kuimarisha dhulma na kuendelea ufisadi

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS