Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

    Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

    Oct 26, 2022 12:57

    Wanazuoni wa Bahrain wanaosota kwenye jela za utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa ukoo wa Aal Khhalifa wameeleza katika taarifa waliyotoa kumhutubu Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis kwamba, wanatumai kiongozi huyo wa kidini atasema ukweli na kuitikia wito wa imani katika ziara yake ijayo huko Bahrain.

  • Sheikh Isa Qassem: Viongozi wa dini mbalimbali msiamini madai ya utawala wa Bahrain

    Sheikh Isa Qassem: Viongozi wa dini mbalimbali msiamini madai ya utawala wa Bahrain

    Oct 22, 2022 12:32

    Kiongozi wa kidini wa Mapinduzi ya Bahrain amewataka washiriki wa kongamano la viongozi wa dini duniani wasiamini kaulimbiu na madai ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo kuhusu watu kuishi kwa amani na masikilizano.

  • Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji

    Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji

    Oct 06, 2022 03:20

    Bahrain imelazimika kujiondoa kwenye uchaguzi ujao wa kuwasaka wanachama wapya wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), kufuatia jitihada na lalama za asasi za kutetea haki za binadamu juu ya rekodi nyeusi ya serikali ya Manama.

  • BCHR: Hali ya kibinadamu katika gereza kuu la Jau Bahrain ni mbaya

    BCHR: Hali ya kibinadamu katika gereza kuu la Jau Bahrain ni mbaya

    Sep 20, 2022 02:24

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain (BCHR) kimetangaza kuwa, hali ya wafungwa wanaoshikiliwa katika gereza la Jau nchini humo ni mbaya sana.

  • Bahrain inaongoza kwa idadi ya wafungwa wa kisiasa Uarabuni

    Bahrain inaongoza kwa idadi ya wafungwa wa kisiasa Uarabuni

    Sep 14, 2022 07:41

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain (BCHR) kimesema Bahrain inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya wafungwa wa kisiasa miongoni mwa nchi zote za Kiarabu.

  • Jumuiya ya al-Wifaq: Uchaguzi ujao wa Bunge Bahrain ni wa kuimarisha dhulma

    Jumuiya ya al-Wifaq: Uchaguzi ujao wa Bunge Bahrain ni wa kuimarisha dhulma

    Sep 11, 2022 04:29

    Jumuiya ya Kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imetangaza kuwa, uchaguzi ujao wa Bunge nchini humo ni wenzo na chombo cha kuimarisha dhulma na kuendelea ufisadi

  • Sheikh Issa Qassim: Kujengwa kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi Manama ni jinai

    Sheikh Issa Qassim: Kujengwa kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi Manama ni jinai

    Aug 31, 2022 11:51

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amekosoa viikali uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi katika mji mkuu Manama na kueleza kwamba, hatua hiyo ni jinai na dhulma ya wazi dhidi ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jumapili, Agosti 14, 2022

    Jumapili, Agosti 14, 2022

    Aug 14, 2022 02:24

    Leo ni Jumapili mwezi 16 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Agosti 2022 Milaadia.

  •  Mkuu wa Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain: Ubaguzi wa kimadhehebu ni mfano mmoja tu wa ukiukaji wa haki za binadamu nchini Bahrain

    Mkuu wa Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain: Ubaguzi wa kimadhehebu ni mfano mmoja tu wa ukiukaji wa haki za binadamu nchini Bahrain

    Aug 03, 2022 10:50

    Mkuu wa Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain amesisitiza kuwa, ubaguzi wa kidini na kimadhehebu na kubomolewa misikiti ya Waislamu wa Kishia ni miongoni mwa vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vinavyoshuhudiwa nchini humo.

  • Mfalme wa Bahrain amuuzulu waziri wake kwa kukataa kumpa mkono balozi wa Israel

    Mfalme wa Bahrain amuuzulu waziri wake kwa kukataa kumpa mkono balozi wa Israel

    Jul 24, 2022 02:22

    Mfalme wa Bahrain amemuuzulu waziri mwanamke wa nchi hiyo kwa kukataa kumpa mkono balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa mjini Manama na kwa kupinga hatua ya kuanzisha ya uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS