Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Idadi kubwa ya watu wa Saudia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Idadi kubwa ya watu wa Saudia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Jul 20, 2022 03:27

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonesha kuwa, idadi kubwa ya watu wa Saudi Arabia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano baina ya nchi hizo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa

    Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa

    Jul 07, 2022 02:22

    Kwa kuunga mkono taarifa iliyotolewa na Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kidini, dhidi ya utawala wa Aal Khalifa, wanazuoni wa Bahrain wamesisitiza udharura wa kuwepo umoja miongoni mwa wapinzani wa utawala wa kidikteta wa nchi hiyo.

  • Saudia yaendeleza sera za kuwaua Mashia, vijana wawili wahukumiwa kumyongwa

    Saudia yaendeleza sera za kuwaua Mashia, vijana wawili wahukumiwa kumyongwa

    May 21, 2022 07:47

    Mahakama ya Juu ya Saudia imeendeleza sera za kuwaua Waislamu wa madhehebu ya Shia kwa kuidhinisha hukumu ya kuwanyonga vijana wawili raia wa Bahrain.

  • Alkhamisi tarehe 12 Mei 2022

    Alkhamisi tarehe 12 Mei 2022

    May 12, 2022 03:58

    Leo ni Alkhamisi tarehe 10 Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 12 Mei mwaka 2022.

  • Upinzani Bahrain wataka kutimuliwa nchini humo vikosi vya jeshi la Marekani

    Upinzani Bahrain wataka kutimuliwa nchini humo vikosi vya jeshi la Marekani

    Apr 07, 2022 01:57

    Kundi moja la upinzani nchini Bahrain limelaani uwepo wa vikosi vya majini vya Marekani nchini humo na kusisitiza kuwa, wakati umefika wa kufunga kambi ya kijeshi na kuwafukuza wanajeshi wa US katika nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Machi 14, 2022; mwaka wa 11 wa uvamizi wa kijeshi wa Saudia huko Bahrain

    Machi 14, 2022; mwaka wa 11 wa uvamizi wa kijeshi wa Saudia huko Bahrain

    Mar 16, 2022 00:35

    Mnamo Machi 14, 2011, Saudi Arabia iliivamia rasmi Bahrain chini ya kivuli cha Ngao ya Kisiwa, uvamizi ambao sasa umeingia katika mwake wake wa 11.

  • Wabahrain waandamana kulaani safari ya mkuu wa majeshi ya Israel

    Wabahrain waandamana kulaani safari ya mkuu wa majeshi ya Israel

    Mar 11, 2022 08:08

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani safari ya Luteni Jenerali Aviv Kochavi, Mkuu wa Majeshi ya Israel nchini humo, sanjari na kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Mfalme wa Bahrain atembelea Saudia  mkesha wa mwaka wa 11 wa kampeni ya kijeshi

    Mfalme wa Bahrain atembelea Saudia mkesha wa mwaka wa 11 wa kampeni ya kijeshi

    Mar 05, 2022 02:44

    Katika hali ambayo siku 10 zijazo itatimia miaka 10 tokea utawala wa Saudi Arabia utume wanajeshi wake Bahrain katika kampeni ya kukandamiza wananchi, mfalme wa Bahrain Hamad bin Isa Aal Khalifa ametembelea Saudia na kufanya mazungumzo na watawala wa Riyadh.

  • Bendera za Israel zateketezwa kwa moto Bahrain kulaani safari ya Bennett

    Bendera za Israel zateketezwa kwa moto Bahrain kulaani safari ya Bennett

    Feb 17, 2022 02:37

    Waandamanaji wenye hasira nchini Bahrain wameteketeza kwa moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel wakilaani safari ya siku mbili ya Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Naftali Bennet katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Al Wifaq: Safari ya Bennet mjini Manama ni hiyana ya utawala wa Aal Khalifa kwa wananchi wa Bahrain

    Al Wifaq: Safari ya Bennet mjini Manama ni hiyana ya utawala wa Aal Khalifa kwa wananchi wa Bahrain

    Feb 16, 2022 11:53

    Jumuiya ya kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imeitaja safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Manama mji mkuu wa Bahrain kuwa ni hiyana ya utawala wa Aal Khalifa kwa watu wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, safari hiyo inakiuka maadili na ni kitendo chenye lengo la kuyachochea mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS