Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Al Wifaq: Safari ya Bennet mjini Manama ni hiyana ya utawala wa Aal Khalifa kwa wananchi wa Bahrain

    Al Wifaq: Safari ya Bennet mjini Manama ni hiyana ya utawala wa Aal Khalifa kwa wananchi wa Bahrain

    Feb 16, 2022 11:53

    Jumuiya ya kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imeitaja safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Manama mji mkuu wa Bahrain kuwa ni hiyana ya utawala wa Aal Khalifa kwa watu wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, safari hiyo inakiuka maadili na ni kitendo chenye lengo la kuyachochea mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Israel Bahrain katika siku ya kumbukumbu ya mwamko wa Februari 14

    Safari ya Waziri Mkuu wa Israel Bahrain katika siku ya kumbukumbu ya mwamko wa Februari 14

    Feb 16, 2022 11:04

    Naftali Bennett Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel hivi karibuni amefanya safari huko Bahrain kwa mwaliko rasmi wa Mfalme Hamad bin Isa wa nchi hiyo, ikiwa ni katika kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa mwamko wa watu wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa.

  • Mwaka wa 11 wa mwamko wa wananchi; mpasuko kati ya ukoo wa Al Khalifa na watu wa Bahrain waongezeka

    Mwaka wa 11 wa mwamko wa wananchi; mpasuko kati ya ukoo wa Al Khalifa na watu wa Bahrain waongezeka

    Feb 14, 2022 12:31

    Februari 14, 2022 inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 11 ya mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa.

  • Sheikh Qassim: Waislamu wakabaliane na mwenendo wa kuanzishwa uhusiano na Israel

    Sheikh Qassim: Waislamu wakabaliane na mwenendo wa kuanzishwa uhusiano na Israel

    Feb 14, 2022 07:44

    Kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain ametoa wito wa kusimama kidete Waislamu katika kukabiliana na mwenendo wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Al-Wifaq: Wananchi wa Bahrain wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani

    Al-Wifaq: Wananchi wa Bahrain wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani

    Jan 13, 2022 11:41

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) amesema kuwa, wananchi wa nchi hiyo wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani na kwamba, katu hawatasalimu amri katika njia hiyo.

  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (37)

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (37)

    Jan 10, 2022 16:50

    Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yapinga madai yasiyo na msingi ya Bahrain

    Iran yapinga madai yasiyo na msingi ya Bahrain

    Nov 25, 2021 04:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa jibu kwa tamko la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain na kusema, madai yoyote ya wakuu wa Manama kuhusu kugundua silaha na mada za milipuko zinazohusishwa na Iran hayakubaliki.

  • Kongamano la usalama la Manama; kutokuwa na natija mikutano ya usalama kama hii kwa ajili ya eneo la Asia Magharibi

    Kongamano la usalama la Manama; kutokuwa na natija mikutano ya usalama kama hii kwa ajili ya eneo la Asia Magharibi

    Nov 24, 2021 02:28

    Kongamano la 17 la usalama wa Asia Magharibi linalojulikana kama Mazungumzo ya 2021 ya Manama lilimalizika hivi karibuni nchini Bahrain.

  • Wananchi wa Bahrain wwandamana kuwaunga mkono wafungwa wa kisiasa

    Wananchi wa Bahrain wwandamana kuwaunga mkono wafungwa wa kisiasa

    Nov 22, 2021 08:10

    Wananchi wa Bahrain wameandamana wakiwaunga mkono wafungwa wa kisiasa wa nchi hiyo na kutoa wito wa kuachiliwa huru wafungwa hao.

  • Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain

    Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain

    Nov 01, 2021 03:09

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewatiwa mbaroni wanaharakati wengine wa kisiasa wanaoupinga na kuukosoa utawala huo wa kiukoo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS