Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Ijumaa tarehe 23 Juni 2023

    Ijumaa tarehe 23 Juni 2023

    Jun 23, 2023 02:26

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2023.

  • Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Jun 15, 2023 02:50

    Bunge la Lebanon hapo jana lilishindwa tena kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kwa mara ya 12; na kupelekea mkwamo wa kumchagua kiongozi wa juu zaidi nchini humo kuendelea kushuhudiwa.

  • Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Jan 29, 2023 12:28

    Idadi ndogo ya wapiga kura wanatazamiwa kushiriki duru ya pili uchaguzi wa Bunge nchini Tunisia wa leo, baada ya makundi ya upinzani kikiwemo chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa nchini humo cha Annahdha kutoa miito ya kususia uchaguzi huo.

  • Bunge la Kuwait lapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Bunge la Kuwait lapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 01, 2022 04:01

    Wabunge wa Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Bunge la wazayuni washupalia vita zaidi katika historia ya Israel laanza kazi rasmi

    Bunge la wazayuni washupalia vita zaidi katika historia ya Israel laanza kazi rasmi

    Nov 17, 2022 02:20

    Bunge jipya la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel (Knesset) limeanza kazi rasmi huku vyombo vya habari vikilitaja kuwa ni Knesset ya "wenye misimamo mikali zaidi na washupalia vita zaidi" katika historia ya utawala huo.

  • Bunge la Djibouti laiweka FRUD katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Bunge la Djibouti laiweka FRUD katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Oct 14, 2022 07:45

    Bunge la Djibouti limeliweka kundi la wabeba silaha la Front for the Restoration of Unity and Democracy (FRUD) katika orodha ya magenge ya kigaidi.

  • Al-Halbousi: Uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Marekani kwa sasa

    Al-Halbousi: Uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Marekani kwa sasa

    Sep 30, 2022 07:26

    Spika wa bunge la Iraq amesema, uungaji mkono wa Marekani kwa Iraq zaidi ni wa vyombo vya habari kuliko wa kiuhalisia na kwamba uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Washington kwa sasa.

  • Knesset yapiga kura ya kulivunja bunge hilo la utawala wa Kizayuni

    Knesset yapiga kura ya kulivunja bunge hilo la utawala wa Kizayuni

    Jun 23, 2022 03:43

    Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limepiga kura ya kujivunja, na hivyo kuandaa mazingira ya uwezekano wa kurejea madarakani kwa kinara wa chama cha Likud, Benjamin Netanyahu, huku baraza la mawaziri la muungano wa Waziri Mkuu, Naftali Bennett, likiporomoka.

  • Alkhamisi tarehe 23 Juni 2022

    Alkhamisi tarehe 23 Juni 2022

    Jun 23, 2022 02:24

    Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Dhulqaada 1443 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2022.

  • Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon

    Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon

    Jun 03, 2022 02:41

    Kikao cha kwanza cha bunge la Lebanon kimefanyika kwa kuchaguliwa Spika na Naibu Spika wa bunge hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS