-
Ijumaa tarehe 23 Juni 2023
Jun 23, 2023 02:26Leo ni Ijumaa tarehe 4 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2023.
-
Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya
Jun 15, 2023 02:50Bunge la Lebanon hapo jana lilishindwa tena kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kwa mara ya 12; na kupelekea mkwamo wa kumchagua kiongozi wa juu zaidi nchini humo kuendelea kushuhudiwa.
-
Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia
Jan 29, 2023 12:28Idadi ndogo ya wapiga kura wanatazamiwa kushiriki duru ya pili uchaguzi wa Bunge nchini Tunisia wa leo, baada ya makundi ya upinzani kikiwemo chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa nchini humo cha Annahdha kutoa miito ya kususia uchaguzi huo.
-
Bunge la Kuwait lapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 01, 2022 04:01Wabunge wa Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Bunge la wazayuni washupalia vita zaidi katika historia ya Israel laanza kazi rasmi
Nov 17, 2022 02:20Bunge jipya la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel (Knesset) limeanza kazi rasmi huku vyombo vya habari vikilitaja kuwa ni Knesset ya "wenye misimamo mikali zaidi na washupalia vita zaidi" katika historia ya utawala huo.
-
Bunge la Djibouti laiweka FRUD katika orodha ya makundi ya kigaidi
Oct 14, 2022 07:45Bunge la Djibouti limeliweka kundi la wabeba silaha la Front for the Restoration of Unity and Democracy (FRUD) katika orodha ya magenge ya kigaidi.
-
Al-Halbousi: Uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Marekani kwa sasa
Sep 30, 2022 07:26Spika wa bunge la Iraq amesema, uungaji mkono wa Marekani kwa Iraq zaidi ni wa vyombo vya habari kuliko wa kiuhalisia na kwamba uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Washington kwa sasa.
-
Knesset yapiga kura ya kulivunja bunge hilo la utawala wa Kizayuni
Jun 23, 2022 03:43Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limepiga kura ya kujivunja, na hivyo kuandaa mazingira ya uwezekano wa kurejea madarakani kwa kinara wa chama cha Likud, Benjamin Netanyahu, huku baraza la mawaziri la muungano wa Waziri Mkuu, Naftali Bennett, likiporomoka.
-
Alkhamisi tarehe 23 Juni 2022
Jun 23, 2022 02:24Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Dhulqaada 1443 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2022.
-
Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon
Jun 03, 2022 02:41Kikao cha kwanza cha bunge la Lebanon kimefanyika kwa kuchaguliwa Spika na Naibu Spika wa bunge hilo.