Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Bunge la Iran lalaani hatua ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha al-Mustafa

    Bunge la Iran lalaani hatua ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha al-Mustafa

    Dec 28, 2020 00:21

    Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha Kimataifa cha al-Mustafa cha Iran.

  • Kuvunjwa Bunge la 'Knesset' na upeo wa kisiasa wa utawala haramu wa Israel

    Kuvunjwa Bunge la 'Knesset' na upeo wa kisiasa wa utawala haramu wa Israel

    Dec 25, 2020 09:31

    Bunge la utawala haramu wa Israel Knesset lilivunjwa rasmi usiku wa kuamkia Jumatano iliyopita ambapo kwa kusambaratika serikali ya muungano, sasa uchaguzi mpya wa Bunge ambao ni wanne katika kipindi cha miaka miwili unapasa kufanyika Machi 23 mwaka ujao wa 2021.

  • Libya kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge ya mashariki na magharibi mwa nchi

    Libya kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge ya mashariki na magharibi mwa nchi

    Nov 23, 2020 13:07

    Wabunge wa Libya wanajiandaa kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge mawili ya nchi hiyo yenye makao yao mashariki na magharibi mwa nchi.

  • Bunge la Iraq: Serikali inapasa kuwasilisha matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Suleimani

    Bunge la Iraq: Serikali inapasa kuwasilisha matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Suleimani

    Nov 23, 2020 04:26

    Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq imeripoti kuwa inaendelea kuishinikiza serikali ya nchi hiyo ili iwasilishe haraka iwezekanavyo matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Luteni Jenerali Qassim Suleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa

    Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa

    Nov 09, 2020 02:32

    Sheria mpya ya uchaguzi ya Iraq imesainiwa na rais Barham Salih baada ya kupitishwa na bunge la nchi hiyo.

  • Bunge la Iraq kuanza kujadili mauaji ya kigaidi ya Luteni Qasem Soleimani

    Bunge la Iraq kuanza kujadili mauaji ya kigaidi ya Luteni Qasem Soleimani

    Nov 05, 2020 03:57

    Mjumbe mmoja wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa, karibuni hivi bunge hilo litaanza kujadili faili la kuuliwa kigaidi na Marekani, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Abu Mahdi al Muhandis na mashahidi wenzao wanane.

  • Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Sep 21, 2020 14:37

    Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga Jumatatu ya leo amemshauri Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge kwa sababu ya kushindwa kutunga sheria kuhusu usawa wa kijinsia.

  • Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel

    Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel

    Sep 21, 2020 13:40

    Wabunge 61 wa Bunge la Ufaransa wamekosoa mapatano ya kuanzishwa uhusiano baina ya Imaratina Bahrain na utawala haramu wa Israel.

  • Jumanne tarehe 23 Juni mwaka 2020

    Jumanne tarehe 23 Juni mwaka 2020

    Jun 23, 2020 02:41

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Juni 23 mwaka 2020.

  • Bunge la Ethiopia lamruhusu Waziri Mkuu asalie madarakani muda wake ukiisha

    Bunge la Ethiopia lamruhusu Waziri Mkuu asalie madarakani muda wake ukiisha

    Jun 11, 2020 08:02

    Bunge la Ethiopia limepiga kura ya kumuidhinisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abiy Ahmed aendelee kuwa madarakani hata baada ya muhula wake wa kuhudumu kisheria utakapomalizika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS