Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burkina Faso

  • Rais wa zamani wa Burkina Faso ahukumiwa maisha jela kwa mauaji ya Sankara

    Rais wa zamani wa Burkina Faso ahukumiwa maisha jela kwa mauaji ya Sankara

    Apr 06, 2022 21:25

    Rais wa zamani wa Burkina Faso amehukumiwa kifungo cha maisha jela katika kesi ya mauaji ya Thomas Sankara, kiongozi wa mapinduzi wa nchi hiyo na shujaa wa bara la Afrika yaliyotekelezwa mwaka 1987.

  • 20 wauawa katika shambulio la kigaidi dhidi wa mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    20 wauawa katika shambulio la kigaidi dhidi wa mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    Apr 03, 2022 03:46

    Watu wasipoungua 20 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha kwenye mgodi mmoja wa dhahabu kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Wananchi wa Burkina Faso waandamana kupinga uhusiano wa kijeshi na Ufaransa

    Wananchi wa Burkina Faso waandamana kupinga uhusiano wa kijeshi na Ufaransa

    Mar 28, 2022 06:37

    Wananchi wa Burkina Faso wamefanya maandamano ya kushinikiza kuhitimishwa uhusiano na ushirikiano wa kijeshi baina ya nchi yao na Ufaransa.

  • Ecowas: Hatutaitelekeza Burkina Faso baada ya mapinduzi

    Ecowas: Hatutaitelekeza Burkina Faso baada ya mapinduzi

    Mar 19, 2022 03:55

    Mwakilishi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) amesema kuwa jumuiya hiyo itaendelea kufanya kazi pamoja na Burkina Faso licha ya wasiwasi uliopo kuhusu mpango wa wanajeshi nchini humo kushikilia madaraka kwa miaka mitatu baada ya mapinduzi mwezi Januari mwaka huu.

  • Chama kilichoondolewa madarakani Burkina Faso chataka Kabore aachiwe huru

    Chama kilichoondolewa madarakani Burkina Faso chataka Kabore aachiwe huru

    Feb 24, 2022 10:42

    Chama cha Rais aliyepinduliwa nchini Burkina Faso, Roch Marc Christian Kabore, kimekita kikosi cha wafanya mapinduzi kilichotwaa madaraka kimwachie huru bila ya masharti yoyote rais huyo wa zamani wa Burkina Faso ambaye yuko katika kifungo cha nyumbani.

  • Askari aliyepindua serikali ya Burkina Faso alipata mafunzo Marekani

    Askari aliyepindua serikali ya Burkina Faso alipata mafunzo Marekani

    Jan 27, 2022 06:52

    Afisa wa kijeshi aliyeoongoza mapinduzi yaliyopelekea kupinduliwa rais aliyechaguliwa kidemokrasia Burkina Faso alipata mafunzo yake Marekani.

  • ECOWAS yaitisha mkutano wa kujadili mgogoro wa Burkina Faso

    ECOWAS yaitisha mkutano wa kujadili mgogoro wa Burkina Faso

    Jan 27, 2022 04:43

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) kesho Ijumaa zitafanya mkutano wa kujadili mgogoro wa kisiasa uliobuka Burkina Faso, kufuatia kujiri mapinduzi ya kijeshi yaliyomuondoa madarakani Rais Roch Marc Christian Kaboré wa nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa UN alaani

    Katibu Mkuu wa UN alaani "janga la mapinduzi" baada ya Kabore kupinduliwa Burkina Faso

    Jan 25, 2022 11:37

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelaani kile alichokiita "janga la mapinduzi" ambalo ulimwengu unashuhudia, akieleza kuwa anafuatilia kwa wasiwasi mkubwa matukio ya sasa nchini Burkina Faso.

  • Jeshi la Burkina Faso lamuengua madarakani Rais Kabore, AU yatoa kauli

    Jeshi la Burkina Faso lamuengua madarakani Rais Kabore, AU yatoa kauli

    Jan 25, 2022 00:02

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa limemuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Roch Marc Christian Kabore, sambamba na kuvunja Bunge na serikali.

  • Maelfu ya shule zimefungwa kutokana na ugaidi Burkina Faso

    Maelfu ya shule zimefungwa kutokana na ugaidi Burkina Faso

    Jan 07, 2022 00:00

    Maelfu ya shule zimefungwa nchini Burkina Faso kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara ya magenge mbalimbali ya wabeba silaha wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al Qaida na Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS