-
Serikali ya China yaamuru nembo za Kiarabu na Kiislamu ziondolewe katika mji mkuu Beijing
Jul 31, 2019 08:22Mamlaka za dola katika mji mkuu wa China, Beijing zimeiamuru mikahawa ya vyakula vilivyo halali kuliwa Kiislamu pamoja na vioski vya vyakula kuondoa maandishi ya Kiarabu na nembo zinazohusiana na Uislamu katika alama za majengo yao, ikiwa ni sehemu ya upanuzi wa kampeni ya kitaifa ya "KuChinisha" jamii ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Larijani: Kustawishwa uhusiano wa Iran na China ni kwa maslahi ya amani na usalama wa dunia
Jul 30, 2019 09:01Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kustawishwa uhusiano wa Tehran na Beijing ni kwa ajili ya amani na usalama wa dunia na kueleza kuwa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kuimarishwa uhusiano kati ya nchi mbili.
-
China: Marekani isicheze na moto katika kadhia ya Taiwan
Jul 12, 2019 11:08Waziri wa Mambo ya Nje wa China ameionya vikali Marekani isijaribu kucheza na moto kuhusiana na suala la Taiwan, huku akikosoa vikali mpango wa Washington wa kukiuzia silaha kisiwa hicho ambacho Beijing inasisitiza kuwa ni milki yake.
-
Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani
Jul 06, 2019 08:25Rais wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo kamwe haitaruhusu uchumi wake uvurugwe na kurejeshwa nyuma kutokana na vita vya kibiashara vya Marekani, vilivyochechewa na wivu.
-
China yakosoa kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya mashirika yake
Jun 29, 2019 02:53Msemaji wa Wizara ya Biashara ya China amesisitizia udharura wa kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya mashirika ya nchi hiyo.
-
China yataka kuwepo mwafaka wa kimataifa wa kukabiliana na sera za mabavu za Marekani
Jun 28, 2019 02:31Mwakishi wa kudumu wa China katika jumuiya za kimataifa mjini Vienna ametoa wito wa kuwepo mwafaka wa kimataifa wa kukabiliana na hatua za kutumia mabavu na siasa za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Marekani.
-
China na Korea Kaskazini zakosoa siasa za kimabavu za Marekani
Jun 21, 2019 02:57Akizungumza na Rais Xi Jinping wa China, Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani.
-
China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran
Jun 19, 2019 21:52China imeionya vikali Marekani kuhusu taathira hasi ya kutangaza kuwa itatuma wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati); huku ikiitaka Washington ikomeshe mashinikizo yake ya kuchupa mipaka dhidi ya Tehran.
-
Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Jun 06, 2019 22:39Russia na China zikiwa nchi mbili muhimu wanachama wa kundi la 4+1 daima zimekuwa zikisisitiza udharura wa kulindwa mapatano ya kimataifa ya JCPOA na wakati huohuo kupinga vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran.
-
Russia na China zalaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran
Jun 06, 2019 03:19Marais wa Russia na China sanjari na kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran, lakini pia wamezitaka pande husika kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kama JCPOA.