Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Serikali ya China yaamuru nembo za Kiarabu na Kiislamu ziondolewe katika mji mkuu Beijing

    Serikali ya China yaamuru nembo za Kiarabu na Kiislamu ziondolewe katika mji mkuu Beijing

    Jul 31, 2019 08:22

    Mamlaka za dola katika mji mkuu wa China, Beijing zimeiamuru mikahawa ya vyakula vilivyo halali kuliwa Kiislamu pamoja na vioski vya vyakula kuondoa maandishi ya Kiarabu na nembo zinazohusiana na Uislamu katika alama za majengo yao, ikiwa ni sehemu ya upanuzi wa kampeni ya kitaifa ya "KuChinisha" jamii ya Waislamu wa nchi hiyo.

  • Larijani: Kustawishwa uhusiano wa Iran na China ni kwa maslahi ya amani na usalama wa dunia

    Larijani: Kustawishwa uhusiano wa Iran na China ni kwa maslahi ya amani na usalama wa dunia

    Jul 30, 2019 09:01

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kustawishwa uhusiano wa Tehran na Beijing ni kwa ajili ya amani na usalama wa dunia na kueleza kuwa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kuimarishwa uhusiano kati ya nchi mbili.

  • China: Marekani isicheze na moto katika kadhia ya Taiwan

    China: Marekani isicheze na moto katika kadhia ya Taiwan

    Jul 12, 2019 11:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China ameionya vikali Marekani isijaribu kucheza na moto kuhusiana na suala la Taiwan, huku akikosoa vikali mpango wa Washington wa kukiuzia silaha kisiwa hicho ambacho Beijing inasisitiza kuwa ni milki yake.

  • Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani

    Afrika Kusini: Hatutaruhusu uchumi wetu udumazwe na wivu wa Marekani

    Jul 06, 2019 08:25

    Rais wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo kamwe haitaruhusu uchumi wake uvurugwe na kurejeshwa nyuma kutokana na vita vya kibiashara vya Marekani, vilivyochechewa na wivu.

  • China yakosoa kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya mashirika yake

    China yakosoa kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya mashirika yake

    Jun 29, 2019 02:53

    Msemaji wa Wizara ya Biashara ya China amesisitizia udharura wa kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya mashirika ya nchi hiyo.

  • China yataka kuwepo mwafaka wa kimataifa wa kukabiliana na sera za mabavu za Marekani

    China yataka kuwepo mwafaka wa kimataifa wa kukabiliana na sera za mabavu za Marekani

    Jun 28, 2019 02:31

    Mwakishi wa kudumu wa China katika jumuiya za kimataifa mjini Vienna ametoa wito wa kuwepo mwafaka wa kimataifa wa kukabiliana na hatua za kutumia mabavu na siasa za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Marekani.

  • China na Korea Kaskazini zakosoa siasa za kimabavu za Marekani

    China na Korea Kaskazini zakosoa siasa za kimabavu za Marekani

    Jun 21, 2019 02:57

    Akizungumza na Rais Xi Jinping wa China, Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani.

  • China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    Jun 19, 2019 21:52

    China imeionya vikali Marekani kuhusu taathira hasi ya kutangaza kuwa itatuma wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati); huku ikiitaka Washington ikomeshe mashinikizo yake ya kuchupa mipaka dhidi ya Tehran.

  • Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 06, 2019 22:39

    Russia na China zikiwa nchi mbili muhimu wanachama wa kundi la 4+1 daima zimekuwa zikisisitiza udharura wa kulindwa mapatano ya kimataifa ya JCPOA na wakati huohuo kupinga vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Russia na China zalaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia na China zalaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 06, 2019 03:19

    Marais wa Russia na China sanjari na kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran, lakini pia wamezitaka pande husika kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kama JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS