Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Genge la Daesh (ISIS) lafanya jinai mpya nchini Nigeria

    Genge la Daesh (ISIS) lafanya jinai mpya nchini Nigeria

    Dec 28, 2019 07:49

    Wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamesambaza mkanda wa video unaoonyesha mauaji ya watu 11 ndani ya Krismasi.

  • Harakati ya Hashdush-Sha'abi yategua mabomu 100 nchini Iraq

    Harakati ya Hashdush-Sha'abi yategua mabomu 100 nchini Iraq

    Dec 12, 2019 08:00

    Harakati ya Wananchi ya Hashdush-Sha'abi nchini Iraq imefanikiwa kutegua mabomu 100 pamoja na mada za miripuko katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Harakati ya Hashdush-Sha'abi: Hatutaruhusu genge la Daesh kutishia usalama wa Iraq

    Harakati ya Hashdush-Sha'abi: Hatutaruhusu genge la Daesh kutishia usalama wa Iraq

    Dec 05, 2019 01:22

    Harakati ya wananchi ya Hashdush-Sha'abi nchini Iraq imetangaza kwamba, wanamuqawama wa harakati hiyo wameazimia vilivyo kutekeleza majukumu yao na kwamba kamwe hawatoruhusu kurejea nchini humo kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ili kutishia usalama na uthabiti wa Iraq.

  • Mgogoro wa Iraq na uwezekano wa kuibuka tena kundi la kigaidi la Daesh

    Mgogoro wa Iraq na uwezekano wa kuibuka tena kundi la kigaidi la Daesh

    Dec 04, 2019 00:40

    Kushika kasi harakati za mabaki ya wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh nchini Iraq kumepelekea kuongezeka indhari kuhusiana na uwezekano wa kuibuka na kupata nguvu tena kundi hilo katika nchi hiyo.

  • Kuwarejesha wanachama wa Daesh raia wa Ulaya; wenzo wa mashinikizo mapya wa Uturuki

    Kuwarejesha wanachama wa Daesh raia wa Ulaya; wenzo wa mashinikizo mapya wa Uturuki

    Nov 17, 2019 02:35

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uturuki imewafukuza Istanbul raia saba wa nchi za nje wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Makumi ya magaidi wa genge la Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa jeshi la Afghanistan

    Makumi ya magaidi wa genge la Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa jeshi la Afghanistan

    Nov 12, 2019 02:58

    Duru za habari nchini Afghanistan zimearifu kwamba wanachama 38 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamejisalimisha kwa maafisa usalama wa serikali ya nchi hiyo, katika jimbo la Nangarhar, mashariki mwa nchi.

  • Uturuki yamrejesha mwanachama wa ISIS nchini Marekani

    Uturuki yamrejesha mwanachama wa ISIS nchini Marekani

    Nov 11, 2019 11:24

    Uturuki imesema imemrejesha mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi yake ya Marekani, huku Ankara ikianza kuwarejesha makwao magaidi wa genge hilo la ukufurishaji iliowakamata.

  • Russia yaonya kuhusu hatari ya ISIS nchini Afghanistan na uungaji mkono wa Marekani kwa kundi hilo

    Russia yaonya kuhusu hatari ya ISIS nchini Afghanistan na uungaji mkono wa Marekani kwa kundi hilo

    Nov 10, 2019 07:20

    Russia imeonya mara kadhaa kuhusu kuenea harakati za kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) nchini Afghanistan na kuongeza kuwa magaidi hao wakufurishaji wanaungwa mkono na Marekani.

  • Juhudi za Ulaya za kujipapatua kutoka kwenye kinamasi cha shari za

    Juhudi za Ulaya za kujipapatua kutoka kwenye kinamasi cha shari za "Madaesh" wake

    Nov 06, 2019 08:51

    Nchi kubwa za barani Ulaya kama vile Uingereza na Ufaransa zina mchango mkubwa wa kuundwa na kupata nguvu magenge mbalimbali ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) na lengo lao kubwa lilikuwa ni kuwatumia magaidi hao kuipindua serikali halali ya Syria. Hata hivyo nchi hizo zimefeli vibaya.

  • London na Brussels zataka Madaesh raia wa nchi za Ulaya wahukumiwe Iraq na Syria

    London na Brussels zataka Madaesh raia wa nchi za Ulaya wahukumiwe Iraq na Syria

    Nov 05, 2019 12:11

    Uingereza na Ubelgiji zimetoa wito wa kuhukumiwa raia wa nchi hizo mbili wanachama wa Daesh katika nchi za Iraq na Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS