Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Raisi: Marekani ifunguliwe mashtaka kutokana na jinai zilizofanywa na Daesh

    Raisi: Marekani ifunguliwe mashtaka kutokana na jinai zilizofanywa na Daesh

    Nov 04, 2019 03:13

    Mkuu wa Idara ya Mahakama za Iran amesema kuwa, Wamarekani wamekiri rasmi kwamba ndio walioanzisha kundi la kigaidi la Daesh, kwa msingi huo wanapaswa kufunguliwa mashtaka kutokana na jinai zilizofanywa na kundi hilo.

  • Raisi: Marekani ifikishwe kizimbani kwa kuasisi kundi la kigaidi la ISIS

    Raisi: Marekani ifikishwe kizimbani kwa kuasisi kundi la kigaidi la ISIS

    Nov 03, 2019 12:35

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani imekiri rasmi kuwa ilianzisha kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) na kwa msingi huo inapaswa kufikishwa kizimbani kujibu mashtaka kuhusu jinai za kundi hilo."

  • Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh

    Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh

    Nov 03, 2019 02:32

    Baada ya kuanza mgogoro wa Syria hapo mwaka 2011 na vita vilivyosababishwa na mgogoro huo, Marekani ilikuwa na nafasi muhimu na kuu katika kuundwa na kujitokeza makundi ya kigaidi nchini humo hususan kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh; suala ambalo Washington imefanya jitihada kubwa za klificha kwa kuanzisha kile ilichodai ni muungano wa kupambana na Daesh.

  • DAESH (ISIS) lathibitisha kuuawa Abu Bakr al-Baghdadi, latangaza kiongozi wake mpya

    DAESH (ISIS) lathibitisha kuuawa Abu Bakr al-Baghdadi, latangaza kiongozi wake mpya

    Nov 01, 2019 02:52

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limethibitisha na kukiri kuwa kiongozi wa kundi hilo Abu Bakr al- Baghdadi ameuliwa.

  • Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi

    Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi

    Oct 29, 2019 16:36

    Mkuu wa majeshi ya Marekani amedai kuwa mwili wa aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi umetupwa bahaini baada ya kuthibitishwa kuwa wake kupitia kipimo cha vinasaba (DNA).

  • Abu Bakr al Baghdadi, Daesh na maafa yaliyosababishwa na kundi hilo

    Abu Bakr al Baghdadi, Daesh na maafa yaliyosababishwa na kundi hilo

    Oct 29, 2019 02:53

    Hatimaye kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi ameangamizwa, na Abdullah Qardash aliyekuwa afisa wa jeshi la Saddam Hussein nchini Iraq ameteuliwa na kundi hilo kuwa kiongozi mpya wa Daesh.

  • Mousavi: Iraq na Syria ziliisambaratisha kitambo ISIS kwa msaada wa Iran

    Mousavi: Iraq na Syria ziliisambaratisha kitambo ISIS kwa msaada wa Iran

    Oct 28, 2019 12:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) lilisambaratishwa na Iraq na Syria muda mrefu umepita, kwa msaada wa kilojistiki wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ripoti: Al-Baghdadi aliponzwa na taarifa muhimu zilizotolewa na msaidizi wake wa karibu

    Ripoti: Al-Baghdadi aliponzwa na taarifa muhimu zilizotolewa na msaidizi wake wa karibu

    Oct 28, 2019 08:03

    Ismael al-Ethawi, mmoja wa wasaidizi wa karibu wa kiranja wa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) Abubakar al-Baghdadi alivipatia vyombo vya intelijensia vya Iraq taarifa mnamo mwezi Februari mwaka 2018 kuhusu namna mpangaji huyo wa mashambulio kadhaa ya kigaidi alivyofanikiwa kukwepa kutiwa nguvuni kwa muda wa miaka kadhaa.

  • Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh

    Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh

    Oct 28, 2019 05:59

    Marekani pamoja na waitifaki wake wa Kiarabu na Kimagharibi ndio waliolianzisha, kulitia nguvu na kuliunga mkono kwa kila namna na hali na mali; genge la kigaidi na la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa shabaha ya kuiangusha serikali halali ya Syria.

  • Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa

    Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa

    Oct 27, 2019 07:38

    Afisa mmoja wa Pentagon nchini Marekani amesema kuwa Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ameuawa katika operesheni ya siri iliyotekelezwa kaskazini magharibi mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS