-
Mauaji ya kigaidi yaongezeka Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa ISIS
Oct 25, 2019 07:12Mauaji ya kigaidi yameongezeka dhidi ya maafisa wa serikali ya Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa Daesh (ISIS) kutoka kaskazini mwa Syria kufuatia kushadidi mashambulizi ya Uturuki huko Syria.
-
Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)
Oct 15, 2019 08:10Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Indhari kuhusu kujiunga viongozi wa Taliban na kundi la Daesh huko Afghanistan
Oct 06, 2019 08:01Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Afghanistan ametahadharisha kuhusu kujiunga viongozi wa kundi la Taliban na kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.
-
DAESH (ISIS) laua askari 14 katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 26, 2019 07:35Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limetangaza kuwa, limewaua askari 14 wa jeshi la Nigeria katika shambulio lililofanya hapo jana katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS
Sep 21, 2019 12:15Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi za Ulaya akizitaka zihakikishe zimewachukua raia wao waliojiunga na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na wanaoendelea kushikiliwa nchini Iraq na Syria.
-
Maiti za zaidi ya wahanga elfu 12 wa Daesh zagunduliwa katika makaburi ya umati, Iraq
Sep 01, 2019 02:42Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu nchini Iraq imetangaza kuwa, maiti elfu 12 za wahanga wa ukatili na jinai za kundi la kigaidi la Daesh zimegunduliwa katika zaidi ya makaburi 200 ya umati.
-
Tishio jingine la Donald Trump la kuwahamishia magaidi wa Daesh katika nchi za Ulaya
Aug 23, 2019 02:25Nafasi ya Marekani na washirika wake wa Magharibi na wa Kiarabu katika kuanzisha na kueneza harakati za makundi ya kigaidi na kitakfiri likiwemo la Daesh si ya kukanushika hata kidogo.
-
Umoja wa Mataifa walaani shambulio la kigaidi Kabul, Afghanistan
Aug 19, 2019 08:15Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio la kigaidi la Kabul, mji mkuu wa Afghanistan lililosababisha makumi ya watu kuuawa na kulitaja kuwa linatisha.
-
London yakataa kuwapokea watoto wa magaidi wa Daesh raia wa Uingereza
Aug 14, 2019 02:34Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa watoto wa magaidi wa wanamgambo wa Daesh raia wa nchi hiyo ambao wako katika maeneo yaliyokumbwa na vita hawatarejeshwa nchini.
-
Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria
Aug 08, 2019 04:01Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.