Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Baba yake Hoda Muthana awasilisha mashtaka rasmi dhidi ya serikali ya Marekani

    Baba yake Hoda Muthana awasilisha mashtaka rasmi dhidi ya serikali ya Marekani

    Feb 23, 2019 00:15

    Baba wa binti Hoda Muthana ambaye alikuwa mwanachama wa kundi la kigaidi la Daesh huko Syria amewasilisha rasmi malalamiko yake kwa serikali ya Marekani.

  • Mtandao mkubwa wa kimataifa unaolifadhili kifedha DAESH Iraq wasambaratishwa

    Mtandao mkubwa wa kimataifa unaolifadhili kifedha DAESH Iraq wasambaratishwa

    Feb 21, 2019 12:06

    Shirika la Intelijensia la Iraq limeeleza katika taarifa maalumu iliyotolewa leo, kwamba limeugundua na kuusambaratisha "mtandao mkubwa zaidi wa ufadhili wa kifedha" kwa ugaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Trump: Mwanamke mwanachama wa DAESH (ISIS) hana ruhusa ya kuingia Marekani

    Trump: Mwanamke mwanachama wa DAESH (ISIS) hana ruhusa ya kuingia Marekani

    Feb 21, 2019 12:01

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema, Hoda Muthana, mwanamke ambaye ni mwanachama wa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS), hana ruhusa ya kuingia nchini humo. Trump ametoa agizo hilo pasi na kuashiria hatua zilizochukuliwa na serikali ya Washington katika kuanzisha na kuliunga mkono kundi hilo la ukufurishaji.

  • Mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa jeshi la Syria

    Mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa jeshi la Syria

    Feb 21, 2019 04:11

    Idadi kubwa ya wachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamejisalimisha kwa jeshi la serikali ya Syria kutokana na kukaribia kuibuka mapigano makali kati ya magaidi hao na wapiganaji wa Kikurdi wanaoitwa 'Syrian Democratic Forces' katika eneo la Al-Baghuz, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Madai ya kichekesho ya Pompeo kuhusu kundi  la kigaidi la Daesh

    Madai ya kichekesho ya Pompeo kuhusu kundi la kigaidi la Daesh

    Feb 20, 2019 23:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametoa madai ya kichekesho akisema kuwa nchi yake itabadili mbinu za kukabiliana na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Mkuu wa al Hashdu al Sha'abi: Iran imeisaidia Iraq katika mapambano dhidi ya Daesh

    Mkuu wa al Hashdu al Sha'abi: Iran imeisaidia Iraq katika mapambano dhidi ya Daesh

    Feb 17, 2019 23:02

    Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya al Hashdu al Sha'abi na Baraza la Usalama wa Taifa la Iraq amesema kuwa Iran ni nchi pekee ambayo iliisaidia Iraq katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

  • Kamanda wa jeshi la Marekani akiri kwamba nchi hiyo imeshindwa huko Syria

    Kamanda wa jeshi la Marekani akiri kwamba nchi hiyo imeshindwa huko Syria

    Feb 15, 2019 21:56

    Kamanda wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani amekiri kwamba uingiliaji kijeshi wa nchi hiyo dhidi ya Syria haukuwa na mafanikio.

  • Safari ya kushtukiza ya Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Iraq

    Safari ya kushtukiza ya Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Iraq

    Feb 13, 2019 09:30

    Baada ya baadhi ya maeneo ya Iraq kudhibitiwa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) mnamo mwezi Juni 2014, Marekani iliimarisha uwepo wake ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu sambamba na kuweka askari wake katika kambi kadhaa za kijeshi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

  • CNN: Saudi Arabia imetuma silaha za Marekani kwa kundi la al Qaida huko Yemen

    CNN: Saudi Arabia imetuma silaha za Marekani kwa kundi la al Qaida huko Yemen

    Feb 05, 2019 04:09

    Televisheni ya CNN ya Marekani imefichua kuwa silaha zilizotumwa na nchi hiyo kwa muungano wa Saudi Arabia na Imarati huko Yemen zimekabidhiwa kwa makundi ya kigaidi hususan al Qaida.

  • Al Hashdu sh-Sha'abi: Mashambulizi yetu dhidi ya Daesh huko Syria yameua na kujeruhi magaidi 35

    Al Hashdu sh-Sha'abi: Mashambulizi yetu dhidi ya Daesh huko Syria yameua na kujeruhi magaidi 35

    Jan 19, 2019 04:08

    Kamanda wa Operesheni za mkoa wa Al Anbar za Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq amesema kuwa, katika mashambulizi ya jana ya harakati hiyo dhidi ya ngome za magaidi wa kundi la Daesh (ISIS), magaidi 35 wa genge hilo wameuawa na kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS