Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Jan 18, 2019 23:31

    Harakati ya Wananchi ya al Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq imefanya shambulizi dhidi ya ngome na maeneo ya magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Deir ez-Zor nchini Syria, ambapo kwa akali magaidi 15 wameangamizwa.

  • Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza makamanda 30 wa Daesh nchini Syria

    Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza makamanda 30 wa Daesh nchini Syria

    Jan 01, 2019 04:44

    Ndege za kivita za Iraq zimeshambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh mashariki mwa Syria na kuangamiza makanda wasiopungua 30 wa genge hilo la ukifurishaji.

  • Dakta Zarif: Tangu awali kuweko Marekani nchini Syria kulikuwa kinyume cha sheria

    Dakta Zarif: Tangu awali kuweko Marekani nchini Syria kulikuwa kinyume cha sheria

    Dec 24, 2018 23:28

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katu Marekani haijawahi kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na kwamba, Washington haikuwa nchini Syria kwa faida ya wananchi wa nchi hiyo wala kwa ridhaa ya serikali ya Damascus.

  • Daesh yafanya mauaji mengine ya kimbari, yaua wafungwa 700

    Daesh yafanya mauaji mengine ya kimbari, yaua wafungwa 700

    Dec 19, 2018 23:10

    Kundi la kigaidi la Daesh limefanya mauaji mengine ya kutisha huko mashariki mwa Syria kwa kuua wafungwa mia saba karibu na eneo lililoko kwenye mpaka wa nchi hiyo na Iraq.

  • Timu nyingine ya magaidi wa Daesh yasambaratishwa nchini Iraq

    Timu nyingine ya magaidi wa Daesh yasambaratishwa nchini Iraq

    Dec 08, 2018 12:04

    Vikosi vya ulinzi vya Iraq vimetangaza habari ya kusambaratishwa timu nyingine ya magaidi huko magharibi mwa mji wa al Ramadi, makao makuuu ya mkoa wa al Anbar.

  • Makundi ya kutetea haki za binadamu: Daesh imeua raia 5490 nchini Syria

    Makundi ya kutetea haki za binadamu: Daesh imeua raia 5490 nchini Syria

    Nov 30, 2018 23:12

    Jumuiya ya kutetea haki za binadamu nchini Syria imetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Daesh limeua raia 5490 nchini Syria katika kipindi cha miezi 53 iliyopita.

  • Watu 7 wauawa katika shambulio la genge la kigaidi la ISIS kusini mashariki mwa Libya

    Watu 7 wauawa katika shambulio la genge la kigaidi la ISIS kusini mashariki mwa Libya

    Nov 24, 2018 03:42

    Vyombo vya habari vya Libya usiku wa kuamkia leo vimetangaza kuwa, wanamgambo wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) wameshambulia kituo kimoja cha polisi kusini mashariki mwa nchi hiyo na kuua watu wasiopungua saba na kujeruhi wengine 10.

  • Zaidi ya magaidi 24 wa ISIS wauawa nchini Iraq

    Zaidi ya magaidi 24 wa ISIS wauawa nchini Iraq

    Nov 17, 2018 13:00

    Zaidi ya magaidi 24 wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wameuawa katika mashambulizi ya anga na nchi kavu yaliyofanywa kwenye maeneo tofauti na wanajeshi wa Iraq katika opereseheni ya kuyasafisha mabaki ya magaidi hao katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Taleban: Marekani na serikali ya Afghanistan zinalisaidia genge la Daesh (ISIS)

    Taleban: Marekani na serikali ya Afghanistan zinalisaidia genge la Daesh (ISIS)

    Nov 12, 2018 01:54

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya kundi la Taleban yenye makao yake mjini Qatar amesema kuwa, harakati za makundi ya kigaidi za Daesh (ISIS) nchini Afghanistan, ni mradi wa pamoja wa Washington na serikali ya Kabul.

  • Lavrov atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi duniani

    Lavrov atahadharisha kuhusu hatari ya ugaidi duniani

    Nov 08, 2018 04:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema ugaidi ungali upo kote ulimwenguni na ni jambo la hatari kwa nchi zote licha ya mafanikio yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya janga hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS