Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS

    Gaidi mmoja Algeria aelezea namna Marekani inavyoshirikiana na magaidi wa ISIS

    Nov 04, 2018 23:44

    Gaidi mmoja wa Algeria ambaye wakati fulani alijiunga na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria ameiambia Mahakama ya al Dar al Baydhaa ya Algeria kuwa, wakati alipoingia Syria alipokewa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani na kumpa mafunzo ya kutumia silaha yeye na wenzake kadhaa.

  • Ayatullah Sistani: Niliwataka Hashdu-Sha'abi wawalinde Masuni katika vita na DAESH (ISIS)

    Ayatullah Sistani: Niliwataka Hashdu-Sha'abi wawalinde Masuni katika vita na DAESH (ISIS)

    Oct 30, 2018 04:29

    Ayatullah Ali Sistani, marjaa taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amesema: Katika vita na Daesh, alivitaka vikosi vya jeshi la kujitolea nchini humo la Hashdu-Sha'abi viwalinde Waislamu wa Kisuni raia wa nchi hiyo.

  • Magaidi wa ISIS walijizatiti vilivyo Iraq, maghala mengine ya kemikali yagunduliwa Salahuddin, al Anbar

    Magaidi wa ISIS walijizatiti vilivyo Iraq, maghala mengine ya kemikali yagunduliwa Salahuddin, al Anbar

    Oct 26, 2018 21:52

    Vikosi vya usalama vya Iraq vimegundua maghala mengine ya silaha za kemikali za genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika mikoa ya Salahuddin na al Anbar, jambo ambalo linathibitisha ni kiasi gani magaidi hao walikuwa wamejizatiti kwa silaha za kila namna hasa za kemikali na za mauaji ya umati.

  • Al Baghdadi aamuru kunyongwa mamia ya magaidi wa Daesh

    Al Baghdadi aamuru kunyongwa mamia ya magaidi wa Daesh

    Oct 11, 2018 04:38

    Abubakar al Baghdadi kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ametoa amri ya kunyongwa magaidi 320 walio chini ya usimamizi wake kwa tuhuma za kufanya usaliti na kupelekea kupata kipigo kikali kundi hilo la kigaidi huko Iraq na Syria.

  • Uchunguzi: Libya inakabiliwa na kundi jipya la Daesh

    Uchunguzi: Libya inakabiliwa na kundi jipya la Daesh

    Oct 10, 2018 02:56

    Uchunguzi uliofanywa na mtandao wa al Wasat nchini Libya umebaini kuwa, hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo inaanda mazingira ya kujitokeza kundi jipya la Daesh na kutahadharisha kuwa yumkini nchi hiyo ikawa makimbilio salama ya vinara wa makundi yenye misimamo ya kufurutu mipaka kutoka pembe mbalimbali za dunia.

  • Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa

    Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa

    Sep 28, 2018 04:26

    Vyombo vya usalama vya Lebanon vimetangaza habari ya kusambaratishwa njama ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) ambalo lilitaka kuweka sumu ndani ya maji ya kunywa ya wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Makundi ya kigaidi ya DAESH (ISIS) na Al-Ahvaziyyah yameshirikiana katika jinai ya Ahvaz

    Makundi ya kigaidi ya DAESH (ISIS) na Al-Ahvaziyyah yameshirikiana katika jinai ya Ahvaz

    Sep 24, 2018 00:19

    Baada ya kupita siku moja tu tangu lilipotokea shambulio la kigaidi katika mji wa Ahvaz kusini magharibi mwa Iran zimepatikana taarifa mpya kuhusiana na shambulio hilo.

  • Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS

    Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS

    Sep 02, 2018 22:12

    Mahakama nchini Iraq imewafunga kifungo cha maisha gerezani watu wanne ambao wamepatikana na hatia ya kujiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.

  • Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria

    Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria

    Aug 30, 2018 03:24

    Kituo kiitwacho Uangalizi wa Haki za Binadamu nchini Syria kimeripoti kuwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limeua kwa kuwanyonga watu zaidi ya elfu tano nchini humo.

  • Uingereza yatahadharisha juu ya kubadilika genge la Daesh kuwa mtandao wa siri

    Uingereza yatahadharisha juu ya kubadilika genge la Daesh kuwa mtandao wa siri

    Aug 25, 2018 21:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), limegeuka na kuwa mtandao wa siri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS