Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Aug 01, 2018 15:16

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

  • Filamu ya Iran

    Filamu ya Iran "Paradise" yaingia fainali tamasha la filamu la Out Of The Can, Uingereza

    Jul 25, 2018 01:19

    Filamu ya Paradise iliyotengenezwa na Muirani, Ali Atshani imefanikiwa kuingia fainali ya Tamasha la Pili la Kimataifa la Filamu la Out Of The Can nchini Uingereza.

  • Wanachama 300 wa Daesh na Teleban wauawa Afghanistan

    Wanachama 300 wa Daesh na Teleban wauawa Afghanistan

    Jul 21, 2018 14:29

    Msemaji wa Gavana wa Mkowa wa Jowzjan, kaskazini mwa Afghanistan amesema kuwa karibu watu 300 wameuawa katika mapigano yaliyoibuka hivi karibuni kati ya wanachama wa kundi la Taleban na Daesh, mkoani hapo.

  • Iran yawakamata magaidi wengine wa Daesh kusini mwa nchi

    Iran yawakamata magaidi wengine wa Daesh kusini mwa nchi

    Jul 17, 2018 07:13

    Maafisa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran wamefanikiwa kuwatia mbaroni wanachama kadhaa wa genge la kigaidi lenye mfungamano na kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kusini magharibi mwa nchi.

  • Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Jul 10, 2018 13:47

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kipaumbele chake ni ujenzi mpya wa nchi hiyo baada ya kutimuliwa magaidi walioanzisah vita nchini humo mwaka 2011 kwa uungaji mkono wa kigeni.

  • Iran yawakamata magaidi 32 wa ISIS wakiwa wanapanga njama

    Iran yawakamata magaidi 32 wa ISIS wakiwa wanapanga njama

    Jul 08, 2018 12:47

    Mwendesha Mashtaka wa Tehran amesema magaidi wasiopungua 32 wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh wamekamatwa nchini Iran hivi karibuni.

  • Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jul 07, 2018 03:20

    Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.

  • Iran kuwanyonga magaidi 8 wa ISIS waliohusika na hujuma za kigaidi mjini Tehran

    Iran kuwanyonga magaidi 8 wa ISIS waliohusika na hujuma za kigaidi mjini Tehran

    Jul 07, 2018 02:39

    Mahakama nchini Iran imepitisha hukumu ya kuwanyonga magaidi wanane wa kundi la kigaidi la Daesh ambao walihusika katika hujuma dhidi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, na Haram Takatifu ya Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini MA, mwaka 2017 mjini Tehran.

  • Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin

    Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin

    Jul 04, 2018 03:51

    Ndege za kijeshi za Iraq zimefanya mashambulizi ya anga na kufanikiwa kuangamiza wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mkoa wa Salahuddin.

  • Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Jun 26, 2018 04:21

    Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS