Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Magaidi karibu ya 20 wa Daesh wametoroka jela Syria kufuatia tetemeko la ardhi

    Magaidi karibu ya 20 wa Daesh wametoroka jela Syria kufuatia tetemeko la ardhi

    Feb 07, 2023 12:01

    Takriban magaidi wa Daesh 20 waliokuwa wamefungwa jela katika gereza moja nchini Syria jana walitoroka baada ya kufanya uasi kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo na Uturuki jana asubuhi.

  • Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Jan 03, 2023 09:17

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo, na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo mwingine wa kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, ambapo katika mfululizo huu wa tatu tutatalii moja ya vipindi maalumu vya maisha ya kamanda huyo.

  • Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh

    Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh

    Nov 19, 2022 02:29

    Vikosi vya usalama vya Iraq vimewatia mbaroni magaidi 15 wa kundi la Daesh katika mikoa sita ya nchi hiyo.

  • Iran: Tutapambana vilivyo na magaidi wote wanaohatarisha usalama wetu

    Iran: Tutapambana vilivyo na magaidi wote wanaohatarisha usalama wetu

    Nov 08, 2022 11:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), amewatembelea hospitalini maafisa wa polisi waliojeruhiwa katika machafuko ya hivi karibuni humu nchini na kusisisitiza kuwa Tehran itapambana vilivyo na magaidi wanaohatarisha usalama wa nchi.

  • Ugaidi wa ISIS unavyohudumia maadui wa taifa la Iran

    Ugaidi wa ISIS unavyohudumia maadui wa taifa la Iran

    Nov 03, 2022 11:08

    Jumatano, tarehe 27 Oktoba, damu ya Waislamu waliokuwa wamekwenda kuzuru na kufanya ibada  katika Haram tukufu ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Ahmad Ibn Musa (as) huko Shiraz kusini mwa Iran, ilimwagwa katika eneo hilo tukufu ambapo gaidi asiye na moyo wa kibinadamu wa kundi la Daesh aliwamiminia risasi ovyo waumini waliokuwa wakitekelea Swala ya Magharibi na kuua 15 Miongoni mwao.

  • DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

    DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

    Aug 15, 2022 10:37

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kiusalama amesema, asilimia 90 ya wahanga na waathirika wa ugaidi nchini Iraq hasa katika maeneo yaliyokombolewa wameuliwa kwa silaha za Marekani.

  • Magaidi 50 wa Daesh wahamishiwa Iraq kutoka nchini Syria

    Magaidi 50 wa Daesh wahamishiwa Iraq kutoka nchini Syria

    Aug 14, 2022 02:31

    Kitengo cha upashaji habari cha jeshi la Iraq kimetoa ripoti rasmi na kusema kuwa karibu wanachama 50 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Dashe (ISIS) wamehamishiwa mkoani Nainawa (Nineveh) Iraq kutoka katika kambi ya al Hawl ya nchini Syria.

  • Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Aug 07, 2022 08:08

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imetangaza kuangamizwa magaidi wanne wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mapigano yaliyotokea kwenye eneo la Karte-Ye-Sakhi mjini Kabul.

  • Mshauri wa Rais wa Iran: Magaidi wa ISIS wametokana na fikra za Kimarekani

    Mshauri wa Rais wa Iran: Magaidi wa ISIS wametokana na fikra za Kimarekani

    Jul 04, 2022 04:04

    Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kaumu na waliowachache kidini amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limetokana na fikra za Kimarekani.

  • Kiongozi wa DAESH (ISIS) mwenye ushawishi mkubwa Burkina Faso aangamizwa na jeshi

    Kiongozi wa DAESH (ISIS) mwenye ushawishi mkubwa Burkina Faso aangamizwa na jeshi

    Jun 01, 2022 07:41

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa limewaua magaidi kumi na wawili, akiwemo Tidiane Djbrilou Dicko, kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) katika eneo la Sahara Kuu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS