Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 13, 2020 22:53

    Rais Donald Trump wa Marekani akiwa na lengo la kujijengea nafasi nzuri wakati huu wa kukaribia uchaguzi nchini humo, anahitajia kutoa madai ya kufanikiwa katika sera za kigeni za nchi hiyo hasa kuhusiana na Iran.

  • Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani

    Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani

    Oct 12, 2020 04:10

    Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imetangaza kuwa ni marufuku na kupinga ombi la Trump aliyetaka kustafidi na bajeti ya kijeshi kwa ajili ya kujenga ukuta wa mpakani.

  • Trump anaitusi Iran kwa sababu amefeli katika njama zake dhidi ya Iran

    Trump anaitusi Iran kwa sababu amefeli katika njama zake dhidi ya Iran

    Oct 11, 2020 04:31

    Mwenyekiti wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran, Dkt. Kammal Kharrazi, ametoa kauli kufuatia matamshi yaliyojaa matusi ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran na kusema, Trump amepandwa na hasira baada ya kufeli njama zake dhidi ya Iran.

  • Pelosi ataka faili la hali ya kiafya ya Trump liwekwe wazi, Trump asema ni kichaa

    Pelosi ataka faili la hali ya kiafya ya Trump liwekwe wazi, Trump asema ni kichaa

    Oct 09, 2020 23:02

    Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi amesema kuwa Wamarekani wana haja ya kujua hali ya kiafya ya Rais Donald Trump akiashiria maradhi yake ya virusi vya corona na kulazwa hospitalini kwa siku kadhaa.

  • Ahadi mpya za Trump za kuondoa wanajeshi Afghanistan; ahadi chapwa za kiuchaguzi

    Ahadi mpya za Trump za kuondoa wanajeshi Afghanistan; ahadi chapwa za kiuchaguzi

    Oct 09, 2020 07:05

    Uchaguzi wa Rais nchini Marekani unazidi kukaribia huku hali ya kisiasa ya rais wa nchi hiyo, Donald Trump si nzuri mbele ya mpinzani wake Joe Biden. Ikulu ya White House na hasa Trump mwenyewe wanazidi kufanya lolote liwezekanalo, hata kutoa ahadi za maneno tena zenye migongano, ili kuvutia wapiga kura.

  • Trump asema hatashiriki mdahalo wa urais kwa njia ya mtandao

    Trump asema hatashiriki mdahalo wa urais kwa njia ya mtandao

    Oct 08, 2020 23:06

    Rais Donald Trump amesema hatoshiriki mdahalo wa pili wa wagombea wa urais nchini Marekani iwapo utafanyika kwa njia ya intaneti.

  • Facebook, Twitter zavugumiza jumbe za upotoshaji za Trump kuhusu corona

    Facebook, Twitter zavugumiza jumbe za upotoshaji za Trump kuhusu corona

    Oct 07, 2020 04:24

    Mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imechukua hatua kali ya kukabiliana na jumbe za upotoshaji za Rais Donald Trump wa Marekani juu ya ugonjwa wa Covid-19.

  • Jitihada zilizofeli za Eric Trump kwa ajili ya kuakhirisha kusikilizwa kikao cha ukiukaji wa ulipaji kodi wa baba yake

    Jitihada zilizofeli za Eric Trump kwa ajili ya kuakhirisha kusikilizwa kikao cha ukiukaji wa ulipaji kodi wa baba yake

    Oct 06, 2020 08:36

    Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa New York imetangaza kuwa mwana wa kiume wa Rais wa Marekani hastahili kuakhirisha kikao cha mahakama cha kusikiliza ukiukaji wa ulipaji kodi uliofanywa na baba yake hadi baada ya uchaguzi.

  • Pelosi: Timu ya utabibu ya Trump iseme ukweli

    Pelosi: Timu ya utabibu ya Trump iseme ukweli

    Oct 04, 2020 23:27

    Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani amewataka madaktari wanaomhudumia Rais wa nchi hiyo kutoa taarifa sahihi kwa wananchi.

  • Hali ya Trump inaripotiwa kuwa mbaya, amelazwa hospitalini kwa corona

    Hali ya Trump inaripotiwa kuwa mbaya, amelazwa hospitalini kwa corona

    Oct 03, 2020 10:10

    Mmoja kati ya watu wa karibu sana kwa Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa hali ya kiafya ya kiongozi huyo ni mbaya na kwamba amehamishiwa katika hospitali ya kijeshi ya Walter Reed huko Bethesda, katika jimbo la Maryland.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS