-
Trump atumia mtandao wa kijamii kutishia kufunga mitandao ya kijamii nchini Marekani
May 27, 2020 21:52Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuwa atatumia nguvu zake kuzima na kufunga mitandao ya kijamii nchini humo.
-
Trump akosolewa na "Twitter" kwa kupotosha juu ya uchaguzi
May 27, 2020 03:27Shirika la Twitter limemkosoa Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuchapisha katika mtandao huo wa kijamii taarifa za kupotosha kuhusu uchaguzi mkuu ujao wa nchi hiyo.
-
Mtengeneza filamu wa Marekani: Trump atashinda tu iwapo kutafanyika uchakachuji katika uchaguzi
May 23, 2020 22:22Mtengeneza filamu mashuhuri wa nchini Marekani amebainisha kwamba, njia pekee inayoweza kumfanya Rais Donald Trump wa nchi hiyo aibuke mshindi katika uchaguzi ujao ni uchakachuaji.
-
Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo
May 20, 2020 02:22Rais wa Marekani amesema uwepo wa askari wa nchi yake huko Afghanistan ni kwa faida ya Taliban na hivyo kundi hilo halitaki askari wa Marekani waondoke.
-
Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China
May 19, 2020 03:09Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.
-
Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani
May 17, 2020 07:51Kuenea kwa virusi vya Corona nchini Marekani kumeisababishia jamii ya nchi hiyo matatizo makubwa ya kila upande hususan kwenye upande wa uchumi.
-
Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?
May 16, 2020 02:05Tangu alipoingia madarkani Donald Trump huko Marekani, rais huyo mwenye majigambo mengi amekuwa akifuata siasa maalumu dhidi ya China na kuishinikiza Beijing katika pande mbalimbali.
-
Trump: Sitaki kuzungumza na Rais Xi, huenda tutakata uhusiano wetu na China
May 15, 2020 08:00Rais Donald Trump wa Marekani amesema haoni umuhimu wowote wa kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Xi Jinping, kauli ambayo inaweka bayana kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Beijing wakati huu wa janga la kimataifa la corona.
-
Mousavi: Utendaji mbovu wa Trump umepelekea wauguzi Marekani wapate mashinikizo
May 12, 2020 21:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utendaji mbovu wa serikali ya Donald Trump ndio chanzo cha mashinikizo makubwa kwa wauguzi nchini Marekani.
-
Biden aendesha kampeni kwa njia ya siri ya kuunda kundi la Warepublican wanaompinga Trump
May 11, 2020 03:36Sambamba na kupamba moto harakati za uchaguzi za Joe Biden ambaye anapewa nafasi kubwa ya kuwa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat, chombo kimoja cha habari nchini humo kimeripoti kuwa, mgombea huyo anaendesha kampeni kwa njia ya siri ya kuunda kundi la Warepublican wa kumuunga mkono.