Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA

    Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA

    Jan 11, 2020 01:21

    Umoja wa Ulaya sambamba na nchi tatu za Ulaya za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zinazojulikana kama Troika ya Ulaya, ni waungaji mkono wa mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Majibu ya kutapatapa ya Trump baada ya Iran kupiga kwa makombora kambi za Marekani + Video

    Majibu ya kutapatapa ya Trump baada ya Iran kupiga kwa makombora kambi za Marekani + Video

    Jan 09, 2020 07:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza kivitendo ahadi yake ya kutoa jibu kali kwa jinai ya Marekani ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Uingereza yakataa ombi la Trump la kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Uingereza yakataa ombi la Trump la kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 09, 2020 04:32

    Serikali ya Uingereza imekataa ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema makubaliano hayo yana umuhimu kwa London katika upande wa masuala ya kiusalama.

  • Zarif: Uwepo wa kishetani wa Marekani Asia Magharibi unaelekea kufika ukingoni

    Zarif: Uwepo wa kishetani wa Marekani Asia Magharibi unaelekea kufika ukingoni

    Jan 07, 2020 00:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria kujitokeza mamilioni ya Wairani katika mazishi ya mashahidi wa jinai ya hivi karibuni ya Marekani na kusema: "Uwepo wa kishetani wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi unaelekea kufika ukingoni."

  • Zarif: Tishio la Trump dhidi ya maeneo ya kiutamaduni ya Iran ni jinai ya kivita

    Zarif: Tishio la Trump dhidi ya maeneo ya kiutamaduni ya Iran ni jinai ya kivita

    Jan 05, 2020 23:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu tishio alilotoa Ras wa Marekani dhidi ya wananchi wa Iran kupitia ukurasa wake wa Twitter na kusisitiza kuwa: Tishio hilo dhidi ya maeneo ya kiutamaduni ni jinai ya kivita.

  • Vitisho vipya vya Trump kutokana na wahka wa ulipizaji kisasi wa Iran

    Vitisho vipya vya Trump kutokana na wahka wa ulipizaji kisasi wa Iran

    Jan 05, 2020 23:13

    Hatua ya kijinai na iliyo kinyume cha sheria ya Marekani ya kumuua shahidi Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis Naibu Mkuu wa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq pamoja na shakhsia wengine huko mjini Baghdad, imekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa Iran ambayo imesisitizia kulipiza kisasi kikali kwa Marekani.

  • Hatua ya kijinai ya Trump ni katika juhudi zake za kukwepa kusailiwa

    Hatua ya kijinai ya Trump ni katika juhudi zake za kukwepa kusailiwa

    Jan 05, 2020 01:00

    Gazeti la New York Times la nchini Marekani limechapisha makala inayosema kwamba, amri ya Rais Donald Trump ya kumuua Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC, ilitolewa kwa lengo la kukwepa kusailiwa.

  • Kutapatapa viongozi wa Marekani ili kuhalalisha jinai yao ya kumuua shahidi kamanda Soleimani

    Kutapatapa viongozi wa Marekani ili kuhalalisha jinai yao ya kumuua shahidi kamanda Soleimani

    Jan 04, 2020 08:13

    Viongozi wa ngazi ya juu wa Marekani wamedhihirisha misimamo ya kukinzana katika juhudi za kuhalalisha jinai yao ya kumuua kigaidi Kamanda Qassem Soleimani baada ya kudai kuwa eti hawataki vita na Iran.

  • Trump akiri hatua ya kigaidi aliyochukua ya kuamuru kuuliwa shahidi Jenerali Soleimani

    Trump akiri hatua ya kigaidi aliyochukua ya kuamuru kuuliwa shahidi Jenerali Soleimani

    Jan 04, 2020 04:16

    Rais Donald Trump wa Marekani amekiri kuhusu hatua ya kijinai aliyochukua ya kuamuru kutekelezwa operesheni ya mauaji ya kigaidi dhidi ya kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC).

  • Joe Biden amkosoa vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Jenerali Soleimani

    Joe Biden amkosoa vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Jenerali Soleimani

    Jan 03, 2020 05:05

    Joe Biden ambaye ni miongoni ma wanasiasa wa chama cha Democratic wanaochuana kupata tiketi ya kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi ujao wa rais utakaofanyika mwaka huu nchini Marekani amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa shahidi Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS