-
Radiamali ya Wademocrats dhidi ya uungaji mkono wa Rais Donald Trump kwa jenerali Khalifa Haftar
Apr 22, 2019 02:42Nchi yenye utajiri wa mafuta ya Libya ambayo kijiografia ipo kaskazini mwa Afrika, imekuwa ikishuhudia vurugu, machafuko na vita vya ndani tangu mwaka 2011.
-
Seneta wa Marekani ataka Trump ang'olewe madarakani
Apr 21, 2019 21:06Seneta wa chama cha Democrats nchini Marekani ametoa mwito wa kuanzishwa mchakato wa kuuzuliwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Walibya waandamana kulaani hatua ya Trump kumpigia simu Jenerali Haftar
Apr 20, 2019 08:37Wananchi wa Libya wamefanya maandamano mjini Tripoli kukosoa hatua ya Rais Donald Trump kumpigia simu jenerali muasi Khalifa Haftar mwenye makao yake katika mji wa Benghazi, magharibi mwa Libya, na ambaye amekuwa akiendesha kampeni ya kijeshi ya kutaka kuuteka mji mkuu Tripoli.
-
Trump aionya ICC dhidi ya kuchunguza jinai za kivita za Marekani na Israel
Apr 13, 2019 03:35Rais Donald Trump ameionya vikali Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) dhidi ya kuchunguza jinai za kivita za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa
Apr 11, 2019 23:55Rais Michel Aoun wa Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, tangazo la Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na umiliki wa utawala vamizi wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria linakinzana na maazimio ya kimataifa.
-
Jamii ya kimataifa yaendelea kukosoa tangazo la Trump dhidi ya IRGC ya Iran
Apr 10, 2019 03:27Nchi mbalimbali duniani zimeendelea kukosoa hatua ya Rais Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC katika orodha ya Marekani ya makundi ya kigaidi.
-
Afisa mmoja wa Russia asema jeshi la SEPAH ni muhimu katika kulinda usalama Asia Magharibi
Apr 09, 2019 03:19Mjumbe wa Kamisheni ya Mambo ya Kimataifa ya Bunge la Russia (DUMA) amesema kuwa, jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH lina nafasi muhimu katika kulinda usalama wa eneo la Asia Magharibi.
-
Mashtaka manane dhidi ya Trump kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Marekani
Apr 08, 2019 11:54Mjumbe mwandamizi wa kamati ya Intelijensia ya Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema mashtaka manane ya tuhuma dhidi ya rais Donald Trump yatawasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo.
-
Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani ajiuzulu
Apr 08, 2019 03:24Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani, Kirstjen Nielsen ambaye amekuwa akikosolewa vikali kwa kuongoza utekelezaji wa sera ya kikatili ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico amejiuzulu.
-
Wasiwasi wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na hatua ya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC)
Apr 08, 2019 03:04Rais Donald Trump wa Marekani ambaye alishika hatamu za uongozi wa nchi hiyo Januari mwaka 2017, ameamua kuchukua mkondo wa kupuuza, kukosoa na kujiondoa katika taasisi za kimataifa.