Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump: Marekani imejaa hadi pomoni, hatuwezi kupokea watu wengine

    Trump: Marekani imejaa hadi pomoni, hatuwezi kupokea watu wengine

    Apr 06, 2019 03:16

    Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kutoa matamshi yake ya kibaguzi na chuki dhidi ya wahajiri, kwa kusema kuwa nchi hiyo imejaa hadi pomoni, na wala haina uwezo wa kupokea watu zaidi.

  • Kutosalimu amri katu taifa la Iran mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Kutosalimu amri katu taifa la Iran mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Apr 01, 2019 20:22

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radiamali kwa hatua zilizo dhidi ya Iran za Rais Donald Trump na kusema kuwa, Wairani katu hatawasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani.

  • Sanders: Maelfu ya Wamarekani katika hatari ya kufa kutokana na sera mbovu ya afya ya Trump

    Sanders: Maelfu ya Wamarekani katika hatari ya kufa kutokana na sera mbovu ya afya ya Trump

    Apr 01, 2019 10:37

    Seneta Bernie Sanders ambaye ametangaza rasmi azma yake ya kugombea urais katika uchaguzi wa 2020 nchini Marekani amesema maelfu ya wananchi wa nchi hiyo wako katika hatari ya kupoteza maisha iwapo mpango wa Rais Donald Trump wa kufuta sheria ya bima nafuu ya afya utafanikiwa.

  • Zarif: Iran kamwe haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Zarif: Iran kamwe haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Mar 31, 2019 22:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua dhidi ya Iran zinazochukuliwa na Marekani na kusema: "Wairani kamwe hawatasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani."

  • Taasisi ya Brookings ya Marekani: Muqawama wa Iran umeichakaza timu ya Trump

    Taasisi ya Brookings ya Marekani: Muqawama wa Iran umeichakaza timu ya Trump

    Mar 30, 2019 22:00

    Taasisi ya utafiti ya Brookings nchini Marekani imekiri kuwa muelekeo unaofuatwa hivi sasa na timu ya utawala wa Donald Trump kwa madhumuni ya kuipigisha magoti Iran ikidhi matakwa ya Washington haujafanikiwa.

  • Ulegevu na msimamo dhaifu wa Ulimwengu wa Kiarabu kuhusiana na njama ya Trump dhidi ya Golan ya Syria

    Ulegevu na msimamo dhaifu wa Ulimwengu wa Kiarabu kuhusiana na njama ya Trump dhidi ya Golan ya Syria

    Mar 29, 2019 03:39

    Wakati dunia inamshuhudia Donald Trump akichukua hatua kinyume cha sheria ya kutambua rasmi umiliki haramu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa eneo la ardhi ya Syria la miinuko ya Golan, nchi za Kiarabu zingali zinaendelea kutosheka na utoaji kauli na maneno matupu, pasi na kuchukua hatua yoyote ya kivitendo kuhusiana na suala hilo.

  • Indhari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU kuhusu uenezaji chuki dhidi ya Uislamu

    Indhari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU kuhusu uenezaji chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 28, 2019 00:07

    Mashambulizi ya kigaidi ya makundi yenye kuchupa mipaka hususan magaidi wa Daesh huko barani Ulaya na Marekani yamepelekea kuandaliwa uwanja wa kushadidishwa mashambulizi ya propaganda na kuibua anga ya vita vya kisaikolojia dhidi ya dini ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla.

  • Rais Rouhani: Uamuzi wa Donald Trump kuhusu miinuko ya Golan ni wa kikoloni

    Rais Rouhani: Uamuzi wa Donald Trump kuhusu miinuko ya Golan ni wa kikoloni

    Mar 26, 2019 22:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiisamu ya Iran amesema kuwa, uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua miinuko ya Golan ya Syria kuwa ni mali ya utawala haramu wa Israel ni wa kikoloni.

  • Malalamiko ya Wademocrat wa Marekani kwa ripoti ya Mike Mueller

    Malalamiko ya Wademocrat wa Marekani kwa ripoti ya Mike Mueller

    Mar 26, 2019 22:08

    Ushindi wa ghafla na uliojaa utata alioupata Donald Trump katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwezi Novemba 2016 ulipokewa kwa hasira kubwa na chama cha Democrat cha nchi hiyo.

  • Syria: Tangazo la Trump kuhusu Golan haliwezi kubadilisha chochote

    Syria: Tangazo la Trump kuhusu Golan haliwezi kubadilisha chochote

    Mar 26, 2019 03:02

    Syria imesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kutambua rasmi Miinuko ya Golan kuwa milki ya utawala haramu wa Israel katu haiwezi kubadilisha ukweli kwamba miinuko hiyo ni mali halali ya Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS