-
Golan, sehemu isiyoweza kutenganishwa na ardhi ya Syria
Mar 24, 2019 07:46Hivi karibuni na kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, Rais Donald Trump wa Marekani alidai kuwa utawala haramu wa Israel unayo mamlaka ya utawala wa miinuko ya Golan.
-
Sisitizo la Antonio Guterres la ulazima wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
Mar 24, 2019 03:07Matukio ya miaka ya hivi karibuuni katika medani ya kimataifa hususan kujitokeza makundi yenye kufurutu ada na kuenea vitendo vyao vya ugaidi katika madola ya Magharibi, yalivipatia vyombo vya habari na tawala za nchi hiyo kisingizio tosha cha kueneza chuuki dhidi ya Uislamu.
-
Venezuela: Mustakbali wa Trump na Pence upo hatarini
Mar 23, 2019 09:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesisitizia umuhimu wa kuondolewa madarakani Rais Donald Trump wa Marekani na Mike Pence, Makamu wake wa Rais.
-
Kukariri Trump porojo lake katika ujumbe wa Nowruz kwa Wairani
Mar 22, 2019 03:12Rais wa Marekani Donald Trump, tangu kwenye kampeni zake za uchaguzi wa rais na mpaka baada ya kuingia Ikulu ya White House Januari 2017, amekuwa akitumia lugha kali na maneno machafu dhidi ya Iran, kwa lengo la kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Trump adai hakuna ubaguzi wa rangi katika jamii za Magharibi
Mar 16, 2019 04:24Katika hali ambayo hivi sasa dunia nzima inaomboleza mauaji ya kutisha yaliyotokea jana Ijumaa katika misikiti miwili nchini New Zealand kutokana na hisia kali za ubaguzi wa rangi na wa kizazi, rais wa Marekani, Donald Trump amejitokeza hadharani na kudai kuwa eti hakuna ubaguzi wa rangi katika jamii za Magharibi.
-
Gaidi aliyeua makumi msikitini New Zealand ni mfuasi wa sera za Trump + Video
Mar 15, 2019 12:25Gaidi mwenye umri wa miaka 28 kwa jina Brenton Tarrant raia wa Australia ambaye amehusika katika shambulizi dhidi ya msikiti mmoja kati ya miwili iliyoshambuliwa nchini New Zealand amekuwa akijitangaza kuwa ni mfuasi wa sera za Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Trump alitaka kumtimua mwanawe na mkwewe White House
Mar 13, 2019 23:10Kitabu kilichochapishwa hivi karibuni kabisa kimefichua kwamba mwaka 2017 rais wa Marekani Donald Trump alitaka kuwatimua katika Ikulu ya nchi hiyo White House, mwanawe Ivanka Trump na mumewe Jared Kushner kutokana na makelele waliyoyaanzisha tangu Trump aingie White House.
-
Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Mar 09, 2019 00:50Wakati mgogoro wa kisiasa ukiwa unaendelea nchini Venezuela sambamba na kuongezeka harakati za Juan Guaido, kiongozi wa wapinzani aliyejitangaza rais, za kushadidisha mgogoro huo, njama na hatua za serikali ya Marekani za kutaka kubadilisha hali ya mambo katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini, nazo pia zimezidi kupamba moto.
-
Trump atoa radiamali baada ya Korea Kaskazini kukarabati eneo la kufanyia majaribio ya makombora
Mar 07, 2019 03:33Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, uamuzi wa Korea Kaskazini wa kukarabati eneo la kufanyia majaribio ya makombora, unazuia njia ya kuboresha uhusiano wa pande mbili.
-
Putin aamuru kusimamishwa kwa muda utekelezaji wa mkataba wa silaha za nyuklia wa INF
Mar 05, 2019 03:33Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kuwa, Moscow itasimamisha utekelezaji wa Mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati maarufu kwa kifupi kama INF.