-
Watu 20 wauawa katika mapigano karibu na Tigray, Ethiopia
Jul 22, 2021 23:47Watu 20 wameuawa katika mapigano ya silaha yaliyojiri karibu na eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.
-
Sudan yaionya Ethiopia kuhusu Bwawa la al Nahdha
Jul 22, 2021 06:21Waziri Mkuu wa Sudan ametoa onyo kwa serikali ya Ethioia isichukue uamuzi wowote wa upande mmoja kuhusu mgogoro wa Bwawa la al Nahdha.
-
Ethiopia yauonya Umoja wa Ulaya; yautaka usipendelee upande wowote katika mzozo wa Bwawa la al-Nahdha
Jul 21, 2021 07:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ethiopia amesema kuwa, nchi yake inapinga upatanishi wa aina yoyote wa Bwawa la al-Nahdha ambao upo nje ya fremu ya Umoja wa Afrika na kuuonya Umoja wa Ulaya kwamba, usipendelee upande wowote katika mzozo huo.
-
Zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha lamalizika
Jul 19, 2021 21:51Licha ya kuweko maonyo na vitisho vikali vya Sudan na Misri, lakini duru moja ya masuala ya umwagiliaji maji nchini Ethiopia imesema kuwa, zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha limekamilika.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia aapa kuiangamiza moja kwa moja harakati ya ukombozi wa Tigray
Jul 19, 2021 03:26Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ameapa kuitokomeza moja kwa moja Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF, kundi ambalo liliwahi kuwa chama tawala nchini humo na ambalo sasa serikali ya Addis Ababa inalitambua kama harakati ya kigaidi.
-
Ethiopia yaanza kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha
Jul 17, 2021 08:18Serikali ya Ethiopia imeanza zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha bila ya kujali kukubali au kukataa nchi mbili za Misri za Sudan zilizolalamikia vikali zoezi hilo.
-
RSF yalaani kukamatwa waandishi habari nchini Ethiopia, yaamuru waachiwe huru
Jul 13, 2021 23:37Jumuiya ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) imelaani kile ilichokiita "kukamatwa kwa umati" kwa waandishi wa habari 12 wa Ethiopia ambao walitiwa nguvuni ili "kuwazuia kuchunguza kwa uhuru mzozo unaoendelea katika eneo la Tigray".
-
Abiy Ahmed: Hatuzungumzi na yeyote kuhusu manufaa yetu ya kitaifa ya bwawa la al Nahdha
Jul 12, 2021 22:06Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema baada ya kupata ushindi chama chake katika uchaguzi wa Bunge kwamba, kabla ya bwawa la al Nahdha kuwa na manufaa ya uzalishaji wa nishati, lina manufaa makubwa zaidi kwa Ethiopia katika kutangaza nguvu na mshikamano wa wananchi wake.
-
Ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa Bunge nchini Ethiopia na changamoto za baadaye
Jul 12, 2021 03:00Hatimaye na baada ya kuahirishwa kwa miezi kadhaa, matokeo ya uchaguzi wa Bunge na serikali za mitaa yanaonesha kuwa, chama tawala nchini Ethiopia kimeibuka na ushindi kwa kupata viti 410 vya Bunge.
-
Ripoti: Eneo la Pembe ya Afrika liko katika ncha ya vita na machafuko
Jul 07, 2021 01:22Ripoti zinaonesha kuwa eneo la Pembe ya Afrika hususan nchi za Ukanda wa Mto Nile zinakabiliwa na hatari ya vita na machafuko makubwa baada ya Ethiopia kuanza awamu ya pili ya kujaza maji katika Bwawa la Renaissance.