Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

FBI Idara ya Upelezi Marekani

  • Ujasusi mpya wa serikali ya Marekani dhidi ya raia kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi

    Ujasusi mpya wa serikali ya Marekani dhidi ya raia kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi

    Jul 14, 2019 01:30

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani Serikali ya Federali ya nchi hiyo ilitunga sheria mpya za kudukua kumpyuta na mitandao ya intaneti ya raia ikisaidiwa na Kongresi kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Mwishoni mwa kipindi cha utawala wa Barack Obama zilifanyika jitihada za kupunguza udukuzi na operesheni hizo za ujasusi dhidi ya raia wa Marekani.

  • FBI yatahadharisha, wapinzani wa utawala wa Saudia wako hatarini kuuawa

    FBI yatahadharisha, wapinzani wa utawala wa Saudia wako hatarini kuuawa

    Jul 13, 2019 21:48

    Polisi ya Federali nchini Marekani FBI imetahadharisha kwamba, wapinzani wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na jamaa wa Jamal Khashoggi wanakabiliwa na hatari ya kuuawa.

  • Comey: Trump ni kidhabi, ameichafua taswira ya FBI

    Comey: Trump ni kidhabi, ameichafua taswira ya FBI

    Dec 18, 2018 12:02

    Mkuu wa zamani wa Polisi ya Upelelezi ya Marekani FBI amesema Rais Donald Trump wa nchi amekubuhu kwa urongo na tabia yake hiyo imechafua taswira na hadhi ya FBI.

  • FBI yaonya kuhusu tishio la misimamo mikali ya Waafrika Wamarekani

    FBI yaonya kuhusu tishio la misimamo mikali ya Waafrika Wamarekani

    Oct 08, 2017 10:51

    Shirika la upelelezi la Marekani FBI limeonya kuhusu kile kinachodaiwa ni tishio la misimamo mikali ya Waafrika Wamarekani au Wamarekani weusi.

  • Wazayuni washirikiana na Idara ya Upelezi Marekani FBI kudukua simu za Iphone

    Wazayuni washirikiana na Idara ya Upelezi Marekani FBI kudukua simu za Iphone

    Mar 24, 2016 22:54

    Baada ya Shirika la Simu za Apple kukataa kushirikiana na Idara ya Polisi ya Upelelezi Marekani FBI katika kuifungua simu aina ya iPhone iliyotumiwa na mtu anayedaiwa kutekeleza mauaji San Bernardino, California mwaka jana, shirika moja la Kizayuni limepewa jukumu la kuifungua simu hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS