-
Gambia kuimarisha hatua za kiafya kufuatia vifo vya watoto 66
Oct 09, 2022 02:56Akihutubia taifa kwa njia ya televisheni, Rais Adama Barrow wa Gambia ameeleza kuwa nchi hiyo itaimarisha hatua za kiafya ikiwa ni pamoja kudhibiti ubora wa dawa kutoka nje baada ya vifo vya kustaajabisha vya makumi ya watu nchini humo.
-
WHO yachunguza dawa za India baada ya watoto 66 kuaga dunia Gambia
Oct 06, 2022 07:21Shirika la Afya Dunia (WHO) limetoa indhari kuwa, yumkini dawa aina nne za kukabiliana na kikohozi na mafua zilizotengenezwa na kampuni ya India ya Maiden Pharmaceuticals zimesababisha vifo vya watoto 66 nchini Gambia.
-
Ijumaa, Februari 18, 2022
Feb 18, 2022 02:30Leo ni Ijumaa tarehe 16 Rajab 1443 Hijria sawa na tarehe 18 Februari 2022 Milaadia.
-
Rais wa Gambia awataka wapinzani waheshimu uamuzi wa mahakama
Dec 29, 2021 07:44Rais Adama Barrow wa Gambia ametoa mwito kwa upinzani nchini humo kukubali na kuheshimu uamuzi wa jana Jumanne wa Mahakama ya Juu ya nchi hiyo wa kutupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi kiongozi huyo.
-
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Gambia, Barrow anaongoza kwa kura chache
Dec 05, 2021 05:47Rais wa Gambia Adama Barrow anaripotiwa kuongoza kwa kura chache katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumamosi nchini Gambia, kulingana na matokeo ya muda ya maeneobunge machache yaliyothibitishwa na Tume ya Uchaguzi.
-
Alkhamisi tarehe 18 Februari 2021
Feb 18, 2021 02:35Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Rajab 1442 Hijria sawa na tarehe 18 Februari 2021.
-
Gambia: Wanajeshi wa Myanmar wailinde jamii ya kabila la waliochache la Rohingya
Feb 04, 2021 07:57Gambia imebainisha wasiwasi wake kuhusu hatima ya Waislamu wa kabila la Rohingya wa Myanmar baada ya kujiri mapinduzi nchini humo.
-
Gambia yataka uchunguzi wa mauaji ya mtoto wa mwanadiplomasia nchini Marekani
Jun 04, 2020 04:46Serikali ya Gambia imeitaka Marekani ianzishe uchunguzi mara moja wa mauaji ya mtoto wa kiume wa mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa nchi hiyo ya Kiafrika katika jiji la Atlanta, jimboni Georgia.
-
Watu 137 watiwa mbaroni katika maandamano dhidi ya Rais wa Gambia; wengine kadhaa wamejeruhiwa
Jan 27, 2020 14:59Polisi nchini Gambia imewatia mbaroni watu 137 na wengine zaidi ya 24 wamejeruhiwa baada ya maandamano yaliyokuwa yakimtaka Rais wa nchi hiyo, Adama Barrow atimize ahadi yake ya kuondoka madarakani baada ya kukalia kiti cha urais kwa miaka mitatu kubadilika na kuwa machafuko.
-
Serikali: Tutamkamata na kumshtaki Yahya Jammeh akirejea Gambia
Jan 21, 2020 07:41Serikali ya Gambia imetishia kumkamata na kumfungulia mashitaka rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeng'olewa madarakani Yahya Jammeh iwapo atatia mguu nchini humo kutoka uhamishoni Equatorial Guinea.