Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Jul 25, 2019 02:40

    Rais wa zamani wa Gambia ametuhumiwa kwamba mwaka 2005 alitoa amri ya kutekelezwa mauaji ya umati dhidi ya wahajiri 30 pamoja na mwandishi mmoja wa habari.

  • Jumatatu tarehe 23 Julai, 2018

    Jumatatu tarehe 23 Julai, 2018

    Jul 23, 2018 02:24

    Leo ni Jumatatu tarehe 9 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na 23 Julai, 2018.

  • Rais wa Gambia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri

    Rais wa Gambia alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri

    Jul 01, 2018 07:22

    Rais Adama Barrow wa Gambia amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri sanjari na kumteua makamu wake mpya.

  • Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia

    Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia

    Mar 01, 2018 15:31

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuwa shirika hilo lina mpango wa kuwarejesha kwao Gambia maelfu ya wahajiri waliokwama nchini Libya.

  • Gambia yawatia nguvuni majenerali wa Yahya Jammeh

    Gambia yawatia nguvuni majenerali wa Yahya Jammeh

    Jan 23, 2018 08:18

    Jeshi la Gambia limewatia mbaroni majenerali wawili wa ngazi za juu wa utawala wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Yahya Jammeh.

  • Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 17, 2018 14:53

    Wawakilishi wa nchi za Kiafrika za Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco wamesisitiza katika Mkutano wa 13 wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu Wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) kupatiwa ufumbuzi matatizo yanayoukabili Ulimwengu wa Kiislamu na kukabiliana pia na utawala ghasibu za Kizayuni.

  • Gambia na Senegal kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi

    Gambia na Senegal kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi

    Aug 23, 2017 04:20

    Mawaziri wa Mambo ya Ndani wa nchi za Senegal na Gambia wametilia mkazo umuhimu wa kushirikiana nchi zao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • China kuisaidia Gambia baada ya kukata uhusiano na Taiwan

    China kuisaidia Gambia baada ya kukata uhusiano na Taiwan

    Aug 02, 2017 08:10

    China imeahidi kuipa msaada Gambia baada ya nchi hiyo ya Kiafrika kukata uhusiano rasmi na serikali tya Taiwan.

  • UN yataka kuungwa mkono juhudi za kukabidhiana madaraka kwa amani nchini Gambia

    UN yataka kuungwa mkono juhudi za kukabidhiana madaraka kwa amani nchini Gambia

    Jul 18, 2017 07:40

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa magharibi mwa Afrika ameitaka jamii ya kimataifa kusaidia juhudi za kukabidhiwa madaraka kwa njia ya amani nchini Gambia.

  • Senegal yaonya kuhusu hatari za kupinduliwa serikali ya Gambia

    Senegal yaonya kuhusu hatari za kupinduliwa serikali ya Gambia

    Jul 06, 2017 07:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Senegal ameonya kuwa ukosefu wa utulivu na machafuko yanatishia uwepo wa serikali mpya ya Gambia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS