Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Rais mpya wa Gambia azidi kuandamwa na mashinikizo

    Rais mpya wa Gambia azidi kuandamwa na mashinikizo

    May 28, 2017 06:56

    Matatizo na mashinikizo yamezidi kumwandama rais mpya wa Gambia kutokana na kushindwa kutangaza makamu wake.

  • Gambia yazuia mali za Jammeh, zikiwemo dola milioni 50 alizopora

    Gambia yazuia mali za Jammeh, zikiwemo dola milioni 50 alizopora

    May 23, 2017 07:48

    Serikali ya Gambia imezuilia mali zinazomilikiwa na rais wa zamani wa nchi hiyo Yahya Jammeh, zikiwemo akaunti 86 za benki na majumba ya kifahari 131.

  • Wagambia kuchagua bunge leo baada ya utawala wa miaka 22 wa Jammeh

    Wagambia kuchagua bunge leo baada ya utawala wa miaka 22 wa Jammeh

    Apr 06, 2017 03:20

    Wananchi wa Gambia leo tarehe 6 Aprili wanatarajiwa kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kwa shabaha ya kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la nchi hiyo.

  • Wananchi wa Gambia kuwachagua wabunge baada ya miaka 22 ya utawala wa kidikteta

    Wananchi wa Gambia kuwachagua wabunge baada ya miaka 22 ya utawala wa kidikteta

    Apr 05, 2017 04:11

    Wananchi wa Gambia huko magharibi mwa Afrika wanatazamia kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa bunge baada ya kupita miaka 22 ya utawala wa kidikteta wa Yahya Jammeh.

  • Gambia kuunda tume ya ukweli na maridhiano

    Gambia kuunda tume ya ukweli na maridhiano

    Mar 24, 2017 04:31

    Serikali ya Gambia imetangaza kuwa itaunda tume ya ukweli na maridhiano na kuwalipa fidia waathirika wa jinai zilizofanywa na serikali ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh inayotuhumiwa kuwatesa na kuwaua watu walioshukiwa kuwa wapinzani wa serikali hiyo.

  • Wanajeshi waliopanga mapinduzi dhidi ya Jammeh wajiunga na jeshi la Gambia

    Wanajeshi waliopanga mapinduzi dhidi ya Jammeh wajiunga na jeshi la Gambia

    Mar 05, 2017 16:27

    Rais Adama Barrow wa Gambia amekubali kujiunga na jeshi wanajeshi wa zamani waliotuhumiwa kupanga mapinduzi dhidi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh.

  • Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall

    Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall

    Mar 03, 2017 06:35

    Rais Adama Barrow wa Senegal yuko nchini Senegal katika ziara rasmi ya kikazi iliyoanza jana Alkhamisi.

  • UN: Tutashirikiana na Gambia kuwashughulikia waliotenda jinai enzi za utawala wa Jammeh

    UN: Tutashirikiana na Gambia kuwashughulikia waliotenda jinai enzi za utawala wa Jammeh

    Mar 02, 2017 07:52

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, uko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Gambia katika masuala ya kimahakama na haki za binadamu.

  • Rais Barrow amfuta kazi mkuu wa jeshi Gambia na makanda 10

    Rais Barrow amfuta kazi mkuu wa jeshi Gambia na makanda 10

    Feb 28, 2017 07:24

    Rais Adama Barrow wa Gambia amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo, Jenerali Ousman Badjie, pamoja na makamanda wengine 10 wa ngazi za juu wa vikosi vya usalama nchini humo.

  • Usafishaji idara ya usalama nchini Gambia, hatua ya kwanza ya Rais Adama Barrow

    Usafishaji idara ya usalama nchini Gambia, hatua ya kwanza ya Rais Adama Barrow

    Feb 23, 2017 03:04

    Sambamba na kuanza rasmi kazi yake, Rais mpya wa Gambia ametekeleza hatua muhimu katika kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS