Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Maelfu ya Wagambia wajitokeza kwa wingi kumuunga mkono Rais Barrow

    Maelfu ya Wagambia wajitokeza kwa wingi kumuunga mkono Rais Barrow

    Feb 19, 2017 02:42

    Maelfu ya raia wa Gambia wamejitokeza kwa wingi katika kongamano kubwa lililofanyika jana katika mji mkuu wa nchi hiyo Banjul katika kumuunga mkono Rais Adama Barrow wa nchi hiyo.

  • Jumamosi, Februari 18, 2017

    Jumamosi, Februari 18, 2017

    Feb 18, 2017 04:42

    Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Nane Jamad al-Awwal 1438 Hijria mwafaka na tarehe 18 Februari 2017 Miladia.

  • Gambia yatengua uamuzi wa kujiondoa mahakama ya ICC

    Gambia yatengua uamuzi wa kujiondoa mahakama ya ICC

    Feb 15, 2017 03:34

    Gambia imetengua uamuzi wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula

    EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula

    Feb 10, 2017 04:26

    Neven Mimica, Kamishna wa Ushirikiano na Ustawi wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo utaisaidia serikali ya Gambia msaada wa kiasi cha Euro milioni 75.

  • Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi

    Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi

    Feb 09, 2017 07:23

    Vikosi vya kieneo vya mgharibi mwa Afrika vilivyotumwa nchini Gambia kuhakikisha usalama katika mchakato wa kushika madaraka serikali mpya ya nchi hiyo, vitasalia nchini humo kwa muda wa miezi mitatu zaidi.

  • Wanajeshi wa Nigeria waliotumwa Gambia kurejea nyumbani karibuni

    Wanajeshi wa Nigeria waliotumwa Gambia kurejea nyumbani karibuni

    Feb 03, 2017 07:38

    Askari wa jeshi la Nigeria waliokuwa wametumwa nchini Gambia ili kuhakikisha usalama katika mchakato wa kushika madaraka serikali mpya ya nchi hiyo wanatazamiwa kurejea nchini mwao hivi karibuni.

  • Rais Barrow arejea Gambia, ataka kikosi cha kieneo kibakie nchini miezi 6

    Rais Barrow arejea Gambia, ataka kikosi cha kieneo kibakie nchini miezi 6

    Jan 26, 2017 14:08

    Rais mpya wa Gambia Adama Barrow amerejea nchini kwake leo Alkhamisi akitokea nchi jirani ya Senegal, ambayo alilazimika kuigeuza kimbilio lake tangu Januari 15, akihofia usalama wake.

  • Equatorial Guinea yaafiki kumpa hifadhi Yahya Jammeh

    Equatorial Guinea yaafiki kumpa hifadhi Yahya Jammeh

    Jan 25, 2017 14:55

    Viongozi wa Equatoria Guinea wametangaza kuwa wamekubali kumpa hifadhi Rais wa zamani wa Gambia.

  • Rais mpya wa Gambia atoa amri ya kuchunguzwa faili la wizi dhidi ya Jammeh

    Rais mpya wa Gambia atoa amri ya kuchunguzwa faili la wizi dhidi ya Jammeh

    Jan 25, 2017 02:59

    Rais mpya wa Gambia ametoa amri ya kufuatiliwa na kufunguliwa faili dhidi ya rais aliyeondoka madaraka wa nchi hiyo, Yahya Jammeh kwa kosa la kutoroka na fedha za umma.

  • Rais Barrow atangaza makamu wake mwanamke akiwa Senegal

    Rais Barrow atangaza makamu wake mwanamke akiwa Senegal

    Jan 24, 2017 06:34

    Rais mpya wa Gambia Adama Barrow amemteua kiongozi wa wanawake wa muungano wa upinzani uliomsaidia kuingia madarakani, kuwa makamu wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS