Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu:

    Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

    Jun 26, 2026 11:16

    Televisheni ya CNN ya Marekani imefichua malumbano makali ya simu baina ya Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel ambapo Donald Trump amemkemea Benjamin Netanyahu, akimwambia: "Wayahudi wote wamekuchoka," huku Marekani ikizidisha mashinikizo kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusu Ukanda wa Gaza.

  • Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza

    Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza

    Jun 19, 2026 03:50

    Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina imesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani lazima uwajibishwe kwa ukatili na vitendo vya uchokozi vinavyofanywa na askari wa utawala vamizi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa kawaida katika Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.

  • Wapiga picha wa Gaza washinda Tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru

    Wapiga picha wa Gaza washinda Tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru

    Jun 15, 2026 11:19

    Jumuiya ya Wachapishaji Habari Duniani imetangaza kwamba tuzo ya Kalamu ya Dhahabu ya Uhuru 2026 itatolewa kwa wapiga picha na wakurugenzi wa video kutoka Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.

  • Italia yaanzisha uchunguzi dhidi ya Ben-Gvir kuhusu unyanyasaji wa wanaharakati wa Global Sumud Flotilla

    Italia yaanzisha uchunguzi dhidi ya Ben-Gvir kuhusu unyanyasaji wa wanaharakati wa Global Sumud Flotilla

    Jun 10, 2026 03:59

    Waendesha mashtaka wa Italia wameanzisha uchunguzi dhidi ya Waziri wa Usalama wa Israel mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia, Itamar Ben-Gvir kuhusu mateso, unyanyasaji na utekaji nyara wa wanaharakati walioshiriki katika msafara wa Global Sumud Flotilla wa kupeleka misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, mwezi uliopita.

  • Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza

    Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza

    Jun 09, 2026 11:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Waandishi wa habari wa Gaza wasimulia unyanyasaji waliokumbana nao katika gereza la Israel

    Waandishi wa habari wa Gaza wasimulia unyanyasaji waliokumbana nao katika gereza la Israel

    Jun 07, 2026 03:50

    Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) limechapisha ushuhuda kutoka kwa waandishi wa habari watano wa Kipalestina huko Gaza, ambao walitekwa nyara na askari wa Israel baada ya Oktoba 7, 2023 ikiwa ni pamoja na visa vya unyanyasaji, kuhojiwa na ukiukwaji wa sheria unaohusiana moja kwa moja na shughuli zao za uandishi wa habari.

  • Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel

    Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel

    Jun 01, 2026 02:55

    Mwanasiasa wa Ujerumani na mbunge wa zamani wa bunge la nchi hiyo amekosoa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: "Walowezi wa Kizayuni wanafanya ugaidi wa kimfumo dhidi ya Wapalestina, na serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya wanashiriki katika uhalifu huo kwa kunyamaza kimya."

  • Malaysia: Tutaipeleka Israel ICJ kwa kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa Freedom Flotilla

    Malaysia: Tutaipeleka Israel ICJ kwa kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa Freedom Flotilla

    May 25, 2026 12:21

    Serikali ya Malaysia iko tayari kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kwa kosa la kuteka nyara na kuwatesa wanaharakati wa msafara meli za misaada ya kibinadamu wa Global Sumud Flotilla, uliokuwa njiani kuelekea Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • UN yataka kuachiliwa huru wanaharakati wa Global Sumud Flotilla

    UN yataka kuachiliwa huru wanaharakati wa Global Sumud Flotilla

    May 07, 2026 11:32

    Umoja wa Mataifa umeitaka Israel iwaachilie mara moja wanaharakati wawili wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza wanaoshikiliwa bila mashtaka; na vilevile kuchunguzwa visa vya kuaminika vya kuteswa wanaharakati hao.

  • Uungaji Mkono wa Ulaya kwa Jinai za Israel Umekuwa na Matokeo Gani?

    Uungaji Mkono wa Ulaya kwa Jinai za Israel Umekuwa na Matokeo Gani?

    May 04, 2026 12:37

    Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametoa indhari kali akisema, nchi za Ulaya zinazizoesha jamii zao sera za kikatili za Israel, yakiwa ni matokeo ya kuendeleza uhusiano na ushirikiano wa kijeshi na kibiashara na utawala huo wa kizayuni licha ya kuwa unakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari katika mahakama za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS