Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Sisitizo la Joe Biden la kudumisha uwepo wa kijeshi wa Marekani Asia Magharibi

    Sisitizo la Joe Biden la kudumisha uwepo wa kijeshi wa Marekani Asia Magharibi

    Oct 16, 2024 13:30

    White House ilitangaza siku ya Jumanne kwamba, Rais Joe Biden wa Marekani ameiandikia barua Congress ya nchi hiyo akiifahamisha kwamba vikosi vya Marekani vitaendelea kubakia katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) kwa kuhofia jibu la Iran kwa chokochoko za utawala wa Kizayuni.

  • Iran na Oman zasisitiza ulazima wa kusitishwa mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza na Lebanon

    Iran na Oman zasisitiza ulazima wa kusitishwa mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza na Lebanon

    Oct 14, 2024 11:37

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wamebadilishana mawazo kuhusu hali ya kutisha katika eneo na kutaka kusitishwa mara moja mauaji ya halaiki na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Mshindi wa Nobel: Hali ya watoto wa Ghaza ni kama ya wa Japan baada ya Vita vya Pili vya Dunia

    Mshindi wa Nobel: Hali ya watoto wa Ghaza ni kama ya wa Japan baada ya Vita vya Pili vya Dunia

    Oct 14, 2024 05:38

    Kundi la Nihon Hidankyo, mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel ya 2024 limesema, hali ya watoto katika Ukanda wa Ghaza ni sawa na hali ya watoto wa Japan ilivyokuwa mwishoni mwa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.

  • Ishiba: Sitasahau kamwe mshtuko niliopata kwa taswira ya bomu la nyuklia la US Hiroshima

    Ishiba: Sitasahau kamwe mshtuko niliopata kwa taswira ya bomu la nyuklia la US Hiroshima

    Oct 13, 2024 09:06

    Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba amesema, anataka "ghaya na lengo kuu" liwe ni la kuwa na dunia isiyo na silaha za nyuklia huku akikumbusha kile alichokiita tajiriba ya kushtusha aliyopata alipoona video inayoonyesha Marekani ikishambulia mji wa Hiroshima nchini Japan kwa bomu la nyuklia na kusisitiza kwamba anataka kuhakikisha majanga ya aina hiyo hayawezi kutokea tena.

  • Mamia ya misikiti imebomolewa na Israel katika Ukanda wa Gaza

    Mamia ya misikiti imebomolewa na Israel katika Ukanda wa Gaza

    Oct 06, 2024 02:50

    Wizara ya Wakfu ya Gaza imetangaza kuwa misikiti zaidi ya 800 imebomolewa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina kufuatia vita na mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UNRWA: Hali ya kiafya katika Ukanda mzima wa Gaza si ya kibinadamu

    UNRWA: Hali ya kiafya katika Ukanda mzima wa Gaza si ya kibinadamu

    Oct 01, 2024 02:18

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa hali ya kiafya na kimaisha katika Ukanda wa Gaza si ya kibinadamu.

  • Rais Pezeshkian: Umwagaji damu za maelfu ya watu wasio na hatia Lebanon hautabaki bila majibu

    Rais Pezeshkian: Umwagaji damu za maelfu ya watu wasio na hatia Lebanon hautabaki bila majibu

    Sep 25, 2024 03:37

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, jinai za kiholela na za kigaidi zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika siku zilizopita na uchokozi wake mkubwa dhidi ya Lebanon ambao umemwaga damu za maelfu ya watu wasio na hatia hautabaki bila majibu.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Berlin Ujerumani

    Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Berlin Ujerumani

    Sep 09, 2024 02:54

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin, na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina hususan wa Ukanda wa Gaza.

  • Kifo cha Mmarekani Mturuki kimedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa Marekani

    Kifo cha Mmarekani Mturuki kimedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa Marekani

    Sep 07, 2024 11:05

    Msimamo wa Marekani wa kutoa mijibizo tofauti kuhusiana na vifo vya raia wake waliouliwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na wale waliofariki katika matukio mengine umedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa serikali ya Washington.

  • UNICEF: Zaidi ya watoto 50,000 wa Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali

    UNICEF: Zaidi ya watoto 50,000 wa Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali

    Sep 07, 2024 07:17

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, zaidi ya watoto 50,000 huko Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS