• Hamas: Israel imefanya uharamia kwa kushambulia meli ya misaada

    Hamas: Israel imefanya uharamia kwa kushambulia meli ya misaada

    Jun 09, 2025 11:14

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya meli iliyobeba misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza na kusema kuwa, kitendo hicho ni uharamia wa baharini na jinai dhidi ya binadamu.

  • Hamas: Tutaendeleza mapambano hadi tone la mwisho la damu

    Hamas: Tutaendeleza mapambano hadi tone la mwisho la damu

    Jun 07, 2025 06:59

    Msemaji wa Brigedi za al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesisitiza kwamba operesheni za wanamuqawama dhidi ya uvamizi wa Israel zitaendelea "hadi pale utawala wa Kizayuni utakaposhindwa."

  • Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi

    Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi

    Jun 02, 2025 06:44

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amelaani shambulizi la karibuni la Israel dhidi ya wananchi wa Kipalestina wenye njaa waliouawa shahidi wakiendea chakula cha msaada kusini mwa Gaza, akibainisha kwamba mauaji haya yanatuma ujumbe wa wazi kwa ulimwengu wa Kiislamu kwamba wakati umefika wa kusimama dhidi ya wauaji.

  • Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    May 29, 2025 06:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema imefikia makubaliano na Mjumbe Maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff kuhusu "mfumo jumla" wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Siku 600 za mauaji ya kimbari Gaza; Hamas yaitisha maandamano

    Siku 600 za mauaji ya kimbari Gaza; Hamas yaitisha maandamano

    May 28, 2025 06:51

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa Wapalestina, Waarabu, Waislamu na watu huru kote duniani kushiriki katika harakati ya kimataifa na maandamano ya 'ghadhabu za kimataifa' kuadhimisha siku 600 za "mauaji ya halaiki na njaa" dhidi ya watu wa Gaza.

  • Muqawama walaani matamshi ya mbunge wa US anayetaka Gaza ipigwe mabomu ya nyuklia

    Muqawama walaani matamshi ya mbunge wa US anayetaka Gaza ipigwe mabomu ya nyuklia

    May 25, 2025 07:10

    Makundi ya Muqawama ya Palestina ya Hamas na Jihadul Islami yamemlaani vikali mbunge wa chama cha Republican nchini Marekani, Randy Fine kutokana na matamshi yake ya kutaka kufanyika shambulio la nyuklia katika Ukanda wa Gaza.

  • Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza

    Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza

    May 23, 2025 11:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi 80 duniani, zikisisitiza kwamba Gaza inakabiliwa na mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu tangu kuanza kwa vita vya Israel Oktoba 7 mwaka 2023.

  • Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander

    Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander

    May 17, 2025 10:27

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia kundi hilo la Muqawama la Palestina kwamba, Washington itaishinikiza Israel kukomesha mzingiro wa Gaza na kuruhusu ufikishaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya siku mbili baada ya kumwachilia huru mwanajeshi wa Israel, Edan Alexander, raia wa Marekani.

  • Hamas yamjibu Trump: Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada

    Hamas yamjibu Trump: Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada

    May 16, 2025 10:24

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amejibu matamshi ya kijuba ya rais wa Marekani, Donald Trump alielezea nia ya Washington ya kuuteka Ukanda wa Ghaza na eti kuugeuza kuwa eneo huru, akimwambia, Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada.

  • Mhariri Mkuu wa Middle East Eye: Harakati ya HAMAS katu haitasalimu amri

    Mhariri Mkuu wa Middle East Eye: Harakati ya HAMAS katu haitasalimu amri

    Apr 25, 2025 07:23

    David Hearst, Mhariri Mkuu wa tovuti ya habari ya Middle East Eye amesema, Muqawama ndio njia pekee iliyobaki kwa ajili ya kukomesha ughasibu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel.