Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Brigedi za Qassam zatungua helikopta ya Israel Ukanda wa Gaza

    Brigedi za Qassam zatungua helikopta ya Israel Ukanda wa Gaza

    Oct 26, 2023 08:53

    Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza habari ya kufanikiwa kutungua helikopta ya utawala haramu wa Israel, ikiwa ni kuendelea kujibu jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi

    Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi

    Oct 26, 2023 08:53

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amefuta safari yake ya kuzitembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel na kusisitiza kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si kundi la magaidi, bali ni kundi la wapigania ukombozi.

  • Ajuza Muisrael aliyekuwa mateka asimulia alivyokirimiwa na wapiganaji wa HAMAS+VIDEO

    Ajuza Muisrael aliyekuwa mateka asimulia alivyokirimiwa na wapiganaji wa HAMAS+VIDEO

    Oct 24, 2023 11:02

    Mwanamke mzee Muisrael aliyeachiliwa huru na wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema alikirimiwa na kutendewa wema katika muda wa wiki mbili alipokuwa ameshikiliwa mateka na kundi hilo la wanamapambano wa Palestina.

  • Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Oct 24, 2023 06:33

    Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni si tu kwamba inatoa misaada ya kila aina ya silaha na fedha kwa ajili ya kuushambuliwa Ukanda wa Ghaza, bali pia inapinga vikali usitishwaji vita katika uvamizi huo wa umwagaji damu kwa visingizio vya uongo na visivyo na msingi.

  • Hamas: Nchi zinazounga mkono mashambulizi ya Israel zinahusika katika mauaji ya watoto na wanawake

    Hamas: Nchi zinazounga mkono mashambulizi ya Israel zinahusika katika mauaji ya watoto na wanawake

    Oct 17, 2023 00:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ilisema jana Jumatatu kuwa, nchi zinazounga mkono uvamizi wa Israel katika hujuma yake inayoendelea dhidi ya Ukanda wa Gaza unaozingirwa zinahusika katika mauaji ya watoto, wanawake na raia.

  • Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina

    Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina

    Oct 16, 2023 08:43

    Polisi ya Chicago imetangaza kuwa mkazi mmoja wa mji huo amemuua mvulana wa Kipalestina wa miaka 6 kwa kisu na kumjeruhi vibaya mama yake.

  • Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari

    Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari

    Oct 14, 2023 22:53

    Baada ya kuanza oparesheni kwa jina la "Kimbunga cha Al Aqsa" iliyotekelezwa na Hamas na makundi mengine ya mapambano ya Palestina; serikali na vyombo vya habari vya Magharibi kwa upande mmoja vimeanzisha propaganda kubwa ili kuzuia kuakisiwa habari na matukio yanayojiri huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku vikichapisha na kutoa habari za uwongo ili kuonyesha taswira isiyo ya kibinadamu kuhusu wanamapambano wa Palestina.

  • Tovuti ya Marekani

    Tovuti ya Marekani "The Grayzone" yafichua chanzo cha uongo wa Biden kuhusu kukatwa vichwa watoto wa Israel

    Oct 12, 2023 08:38

    Tuvuti ya habari ya Marekani imefichua ukweli kuhusu uongo uliosemwa na Rais Joe Biden alipodai kuwa wanachama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) waliwakata vichwa watoto wadogo wakati wa operesheni ya kijeshi ya Kimbunga cha al Aqsa Jumamosi iliyopita.

  • Hamas yajibu matamshi ya kichochezi ya Biden juu ya Palestina

    Hamas yajibu matamshi ya kichochezi ya Biden juu ya Palestina

    Oct 11, 2023 23:02

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali matamshi yaliyotolewa na Rais Joe Biden wa Marekani na kusisitiza kuwa, matamshi hayo ya kichochezi yanalenga kukoleza moto wa jinai za utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Jeshi la Israel lakiri: Zaidi ya Wazayuni 1,200 wameuawa

    Jeshi la Israel lakiri: Zaidi ya Wazayuni 1,200 wameuawa

    Oct 10, 2023 23:29

    Jeshi la utawala haramu wa Israel limeungama na kusema kuwa Wazayuni zaidi ya elfu moja na 200 wameangamizwa na wapiganaji wa makundi ya mapambano ya Palestina, tangu Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ilipoanza Jumamosi iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS