Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 06:16

    Kufuatia mashambulizi makubwa ya makundi ya mapambano na ukumbozi wa Palestina katika maeneo yanayouzunguka Ukanda wa Ghaza, ambayo yamedhihirisha udhaifu na utepetevu mkubwa wa utawala wa Kizayuni, Marekani imepanga na kutekeleza hatua za kichochezi kwa kisingizio cha eti kuiunga mkono Tel Aviv na kuimarisha ari ya Wazayuni.

  • Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Oct 09, 2023 04:43

    Makundi ya muqawama ya Palestina yenye makao katika Ukanda wa Ghaza yaani harakati ya Hamas na harakati nyingine za Palestina khususan Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina juzi Jumamosi tarehe 7 Oktoba yalianzisha oparesheni kwa jina la Kimbunga cha Al Aqsa dhidi ya utawala wa Kizayuni; oparesheni iliyouduwaza kikamilifu utawala huo na kuwashtua pakubwa Wazayuni.

  • Haniya: Kimbunga cha Al-Aqsa kimeanzia Gaza na kitafika hadi Ufukwe wa Magharibi

    Haniya: Kimbunga cha Al-Aqsa kimeanzia Gaza na kitafika hadi Ufukwe wa Magharibi

    Oct 07, 2023 11:44

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: Kimbunga cha Al-Aqsa kimeanzia Gaza na kitafika hadi Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, nje yake na popote pale walipo wananchi wa Palestina.

  • HAMAS yataka kuendelezwa muqawama dhidi ya Wazayuni

    HAMAS yataka kuendelezwa muqawama dhidi ya Wazayuni

    Sep 30, 2023 01:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema kuna haja ya kuendeleza muqawama na mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS yalaani kauli ya Katibu Mkuu wa UN kuyaita mapambano ya Wapalestina 'vurugu na utumiaji nguvu'

    HAMAS yalaani kauli ya Katibu Mkuu wa UN kuyaita mapambano ya Wapalestina 'vurugu na utumiaji nguvu'

    Sep 15, 2023 09:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali kauli ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ya kuuita Muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kuwa ni "vurugu" na kusisitiza kwamba kinachofanyika katika ardhi za Palestina ni haki ya kujihami dhidi ya utawala unaokalia ardhi kwa mabavu.

  • Muqawama: Hatutafumbia macho upuuzi wa kuwadhalilisha wanawake Wapalestina

    Muqawama: Hatutafumbia macho upuuzi wa kuwadhalilisha wanawake Wapalestina

    Sep 08, 2023 03:58

    Makundi ya muqawama ya Palestina yameapa kulipiza kisasi cha kudhalilishwa wanawawake wa Kipalestina katika mji wa al-Khalil, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Haniya: Israel inabeba dhima ya mauaji katika jamii ya Waarabu

    Haniya: Israel inabeba dhima ya mauaji katika jamii ya Waarabu

    Sep 03, 2023 03:53

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema utawala haramu wa Israel unabeba dhima ya mauaji ya kiholela katika jamii ya Waarabu katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • HAMAS: Operesheni za silaha dhidi ya Israel hazitasimama

    HAMAS: Operesheni za silaha dhidi ya Israel hazitasimama

    Aug 20, 2023 03:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, kambi ya muqawama itaendelea kufanya operesheni zao za kimapambano kwa kutumia silaha dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Kadhia ya Palestina inakabiliwa na changamoto ya aina yake

    Hamas: Kadhia ya Palestina inakabiliwa na changamoto ya aina yake

    Aug 10, 2023 03:35

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeeleza kuwa suala la Palestina linakabiliwa na changamoto ambayo haijawahi kushuhudiwa.

  • Hamasa: Kuripua nyumba za raia wa Palestina ni ishara ya udhaifu wa Wazayuni

    Hamasa: Kuripua nyumba za raia wa Palestina ni ishara ya udhaifu wa Wazayuni

    Aug 08, 2023 23:43

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuripua nyumba za mashahidi wa Palestina na kusisitiza kuwa, sera hizo za viongozi wa Tel Aviv ni ishara ya kutojiweza utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS