-
HAMAS: Israel ni adui wa Umma wa Kiislamu, tuungane kukabiliana na uchokozi wake
Aug 07, 2023 08:34Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusababisha vifo vya askari wanne wa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, umma wote wa Kiislamu unapaswa kuungana pamoja kukabiliana na utawala huo dhalimu.
-
Hamas: Tutalipiza kisasi cha damu ya watoto wa Kipalestina waliouawa shahidi
Aug 03, 2023 04:20Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa italipiza kisasi cha damu ya watoto wa Kipalestina waliouawa shahidi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Mustakabali wa giza unaungojea utawala wa Kizayuni wa Israel
Jul 14, 2023 03:57Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Hamas amesema: Mustakhbali mbaya na wa giza unaungojea utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kupanuka kwa muqawama na mapambano ni ishara ya mustakbali mbaya wa Israel.
-
HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza
Jun 27, 2023 04:08Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanyia majaribio kombora lake jipya katika Ukanda wa Gaza.
-
Wapalestina walaani hatua ya Wazayuni ya kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu
Jun 23, 2023 23:30Kitendo cha walowezi wa Kiyahudi cha kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu wakati wa mashambulizi ya askari wa Israel dhidi ya misikiti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kimeibua wimbi kubwa la laana na malalamiko ya Waislamu hususan huko Palestina.
-
Kiongozi Muadhamu: Njama za Wazayuni za kuyagawa makundi ya muqawama zimefeli
Jun 21, 2023 23:54Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njama za Wazayuni za kupika majungu ya fitina ili kuibua mifarakano na kuyagawa makundi ya muqawama zimefeli na kusisitiza kwamba, utawala huo wa Kizayuni karibuni utapigishwa magoti na wanamuqawama katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Iran: Madola ya Kiislamu yachukue hatua za kukomesha jinai za Israel
Jun 19, 2023 06:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyaasa madola ya Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo za kukomesha jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
HAMAS: Israel inataka kuwafunga jela watoto zaidi wa Palestina
Jun 18, 2023 04:09Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani njama zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kupasisha sheria inayoruhusu kufungwa jela watoto wadogo wa Kipalestina wa kuanzia miaka 12.
-
Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu
Jun 13, 2023 01:10Ujumbe wa ngazi ya juu wa Kiislamu na jopo la maulamaa wa Baitul Muqaddas wametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni za kutaka kubadili mazingira ya msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa eneo hilo takatifu ni mstari wao mwekundu.
-
Al-Qaddumi: Kadhia ya Palestina ni kipaumbele cha sera za nje za Iran
Jun 03, 2023 02:47Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nchini Iran amesema kuwa, kwa miaka mingi sasa baada ya kupata ushindi Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, kadhia ya Palestina imeendelea kuwa kipaumbele cha sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu.