-
HAMAS yalaani kuidhinishwa Israel kuwa mwanachama mtazamaji wa AU
Jul 24, 2021 20:51Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika (AU) ya kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa umoja huo.
-
Israel yawatia mbaroni wanachama zaidi ya 120 wa Hamas katika Ukingo wa Magharibi
Jul 22, 2021 22:03Televisheni moja ya Kizayuni inayotangaza kwa lugha ya Kiibrania imetangaza kuwa Israel miezi miwili iliyopita iliwatia mbaroni wanachama zaidi ya 122 wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan.
-
Hamas yatoa wito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa Al Aqsa
Jul 18, 2021 20:52Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Hamas: Uhusiano na Iran ni wa muda mrefu na unaendelea
Jul 04, 2021 22:09Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema uhusiano wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu na kusisitiza kuwa harakati hiyo pia inataka kuboresha uhusiano na Saudi Arabia na nchi zingine zote isipokuwa utawala bandia wa Israel.
-
Hamas:Israel haiwezi kubadili mlingano
Jul 04, 2021 02:46Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, mashambulizi ya Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza pia hayawezi kubadili mlingano.
-
Haniya na Nasrullah wajadili njia za kupata 'ushindi wa mwisho' dhidi ya Israel
Jun 29, 2021 21:53Viongozi wakuu wa mrengo wa muqawama wa Palestina na Lebanon wamejadili kipigo cha hivi karibuni cha Wapalestina wa Ukanda wa Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, sanjari na kubadilishana mawazo juu ya njia zinazopaswa kufuatwa ili kupata 'ushindi mutlaki' dhidi ya utawala huo haramu.
-
Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi
Jun 20, 2021 22:24Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema taifa la Palestina karibuni hivi litaukomboa Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.
-
Uungaji mkono wa Wapalestina kwa Hamas umeongezeka baada ya 'Upanga wa Quds'
Jun 17, 2021 02:51Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa, uungaji mkono wa Wapalestina kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) umeongezeka zaidi baada ya kujiri vita vya Saif al Quds (Upanga wa Quds).
-
Hamas: Mashambulizi dhidi ya Ghaza ni jaribio lililofeli la kuzuia muqawama wa wakazi wa Quds
Jun 16, 2021 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Ghaza lilikuwa jaribio lililofeli kwa lengo la kuzuia mapambano ya wananchi wa Palestina katika mji wa Quds.
-
HAMAS: Umma wa Kiislamu unapaswa kuungana kukomesha ugaidi wa Israel + Video
Jun 10, 2021 02:22Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Umma wa Kiislamu una jukumu la kuungana na kuwa kitu kimoja kama unataka kweli kukikomboa Kibla chao cha Kwanza yaani Msikiti wa al Aqsa na kukomesha jinai na ugaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.